Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117112 articles
Browse latest View live

CHINDO MAN azungumia Collabo yake na SNOOP DOGG na Kifo cha Mtoto wake Marekani

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maadhimisho ya Siku ya Wakunga Duniani Yaadhimishwa Zanzibar

Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Mohmoud Thabit Kombo akipokea maandamano ya Wakunga na Wauguzi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wakunga Duniani yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YAANZA KUWABANA WADAIWA SUGU WA BILI ZA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM

 Mafundi wa Shirika la Umeme Tanzania, (TANESCO), mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam, wakiwa na kifaa cha kukatia umeem, tayari kwa kazi kwenye transfoma ya kupeleka umeme kwenye eneo la kiwanda eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

US Chargé d’Affaires Visits Partners in Mwanza, Highlights Cooperation...

  U.S. Chargé d’Affaires Virginia Blaser speaking with Tanzanian game scouts at the Pasiansi Wildlife Training Institute in Mwanza on May 3, 2017.  Chargé Blaser observed students at the Institute...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUBORESHA BARABARA ZA MAJIJI

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa maelekezo Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Arusha, Eng. Mgeni Mwanga juu ya upandaji nyasi kwenye eneo la katikati ya barabara wakati akikagua ujenzi wa barabara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KWA WITO WA KUIMARISHWA HUDUMA...

Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar.Hospitali na Vituo vya Afya vya Wilaya vinaweza kupunguza idadi ya akinamama kujifungulia Hospitali kuu ya Mnazimmoja iwapo juhudi za kuandaa mazingira mazuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NI HATARI

Nguzo ya umeme ikiwa inaning'inia katika barabara ya Moshi Bar Gongolamboto jijini Dar es Salaam mapema leo asubuhi kama ilivyonaswa na mdau wa Globu ya Jamii Zourha Malisa.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawakala wakubwa wa matangazo dunia Havas Group waingia Tanzania

Havas Group ni moja kati ya mawakala wakubwa wa matangazo ya biashara yenye mtandao mpana duniani kote. Ikiwa na makao makuu nchini Ufaransa, Havas inapatikana katika nchi 149 zikiwemo nchi 19 barani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ANUNUA HISA ZAKE NA ZA MKE WAKE TOKA VODACOM...

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa  akiongea wakati wa hafla ya ununuzi wa hisa za Vodacom Tanzania PLC iliyofanyika ofisini kwake jijini Dar es Salaam, ambapo alinunua...

View Article


AMSHA KIPAJI CHAKO NA ISSARITO WA TMT NDANI YA MICHUZI TV

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASIASA WATAKIWA KUACHA KUWAITA WANANCHI WA HALI YA CHINI MASIKINI - DKT....

Wanasiasa wameshauriwa kuacha kuwakatisha tamaa wananchi kwa kuwaita masikini hali inayosababisha washindwe kuchangia na kushiriki kikamilifu katika miradi na shughuli za maendeleo hususani miradi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONESHO LA UNTOLD STORY KUFANYIKA MAKUMBUSHO YA TAIFA MEI 18

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMSANII wa Sanaa za Maonyesho Amani Kipimo  anataraji kufanya onesho la  Igizo la Jukwaani linalokwenda kwa jina la Untoldy Story litakalo fanyika katika ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI

Jitihada za Wizara ya Nishati na Madini za kuhakikisha umeme unafika na kusambaa maeneo ya vijijini zimetambuliwa kimataifa hali iliyopelekea Serikali kupokea Tuzo ya Uwezeshaji wa Mazingira Bora ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga afungua sherehe za maadhimisho ya 69 ya uhuru wa Israeli, Dodoma

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga jana alifungua hafla ya maadhimisho ya 69ya uhuru wa Taifa la Israeli yaliyo fanyika mjini Dodoma katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2017 MKOANI RUVUMA

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dokta Binilith Mahenge akisoma taarifa ya mkoa pamoja na miradi ambayo mwenge wa Uhuru 2017 utafanya kazi ya kufungua, miradi itakayozinduliwa, itakayowekwa mawe ya msingi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI WA VIASHIRIA NA MATOKEO YA UKIMWI WA MWAKA 2016/17 KUFANYIKA DAR ES...

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia Mjema akizungumza hivi karibuni na Wadau wa Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania wa mwaka 2016/17. Kwa Dar es Salaam, utafiti huu unatarajia kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi NMB kuchangia upasuaji wa watoto wenye mdomo Sungura

Baadhi ya wafanyakazi wa kitengo cha Corporate Support cha NMB wakipiga picha na mmoja wa wanufaika wa wanufaika wa upasuaji wa mdomo Sungura uliotolewa na wafanyakazi wa kitengo cha Corporate Support...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete katika Mkutano wa World Economic Forum on...

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameshiriki Mkutano wa World Economic Forum for Africa unaofanyika Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo muhimu unaokutanisha wafanyabiashara, wanasiasa na viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MAMBO YA NJE YAPOKEA MSAADA WA MAGARI KUTOKA OMAN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) (katikati), akipokea funguo za Magari aina ya Toyota Land Cruiser  kutoka kwa  Balozi wa Omani hapa nchini, Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICA yaipongeza Muhimbili kwa kuboresha huduma

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii , Jinsia , Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan –JAICA- wametoa mrejesho wa utekelezaji wa mpango wa kuboresha huduma na...

View Article
Browsing all 117112 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>