Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116996 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA HAPA MOJA KWA MOJA SHEREHE ZA MEI MOSI ZINAZOENDELEA SASA MJINI MOSHI

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokea maandamano ya wafanyakazi katika uwanja wa Chuo cha Ushirika mjini Moshi na tayari sherehe za Mei Mosi ndio zimeanza rasmi. Rais Dkt. John Pombe Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI 122 MKOANI SIMIYU WAPEWA HATI NA WAZIRI LUKUVI AGAWA HATI 122 LAMADI

Magere Mugeta mkazi wa Lamadi mkoani Simiyu akipokea hati ya kumuliki ardhi kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi.Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC TABORA AWAAGIZA WAKAZI WAKE KULIMA NA MAZAO MENGINE NA SIO TUMBAKU PEKEE

Na Tiganya Vincent-RS-TaboraSerikali ya Mkoa wa Tabora imewaagiza kwa wakazi wa Mkoa huo kuanza kulima kwa wingi mazao wengine kama vile alizeti , pamba,  mpunga na miembe ya kisasa ili waweze kuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAMICO YAANZA UZALISHAJI MAKAA YA MAWE KABULO-KIWIRA

Na Koleta Njelekela-STAMICOShirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeanza uchimbaji wa makaa ya mawe katika mlima wa Kabulo uliopo Kiwira katika wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe.Mratibu wa Mradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHANGAMOTO ZATAJWA KUWAELEMEA WATUMISHI-MAGRETH SITTA

Rais mstaafu wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi(TUCTA) Bi.Magreth Sitta ambaye alikuwa mgeni rasmi amesema kwa sasa watumishi wamekuwa wakikumbwa na changamoto nyingi ikiwemo baadhi ya waajiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI MEI MOSI KITAIFA MKOANI KILIMANJARO

 Waziri Mkuu  Kassim  Majaliwa  akisalimiana na  Makamu  wa Rais Mama Samia  Suluhu walipokuwa  katika  Sherehe za  Mei  Mosi  zilizofanyika kitaifa mkoani  Kilimanjaro leo 01/5/ 2017  Katika viwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAAHIDI NEEMA KWA WAFANYAKAZI

Na Nuru Juma, Husna Saidi - MAELEZORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aahidi nyongeza ya kawaida kwa mishahara na kuwapandisha madaraja wafanyakazi wanaostahili.Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAMICO WASHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, WAAHIDI KUCHAPA...

Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) leo wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyoadhimishwa kimkoa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU WA WCF AWAHAMASISHA WAAJIRI KUJISAJILI NA MFUKO HUO, WAUNGANA...

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (Workers Compesation Fund – WCF), Masha Mshomba, (pichani) amewahamasisha waajiri nchini kujisajili katika mfuko huo kwani mkombozi mkubwa kwa waajiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo ya GADO

French electionswww.bunimedia.com/www.buni.tv/www.xyzshow.co.ke

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE MAY 2,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. SHEIN AONGOZA SHEREHE ZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI) MAHONDA,...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto, Mhe. Maudline Cyrus Castico...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPF WAUNGANA NA WENZAO KUADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

NA K-VSI BLOG/Khalfan SaidWAFANYAKAZI wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wameungana na wenzao jijini Dar es salaam kuadhimisha siku ya wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi.Kitaifa sherehe hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA ZANTEL WAADHIMISHA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI...

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel, Benoit Janin akizungumza na wafanyakazi wa Zantel mara baada ya wafanyakazi hao kuhitimisha matembezi mafupi ya kuadhimisha siku ya Afya na Usalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOSI MPYA SHIRIKA LA POSTA AJA NA MATUMIZI YA TEHAMA

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Deo Kwiyukwa akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusu ujio mpya wa Posta ya Kidijitali ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam. Afisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC TABORA AAGIZA VIJANA NA WANAWAKE WAPEWE MIKOPO KUTOKA VYANZO VYA NDANI VYA...

Na Tiganya Vincent, RS-Tabora Serikali ya Mkoa wa Tabora imewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote mkoani humo kuhakikisha zinatoa mikopo ya asilimia tano kwa vijana na wanawake ili waweze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA SHEREHE ZA MEI MOSI ZILIZOFANYIKA KITAIFA MKOANI...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitabasamu wakati Wafanyakazi wa Taasisi mbalimbali za Umma na Binafsi wakiwa katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AMALIZA ZIARA YAKE YA KIKAZI MKOANI KILIMANJARO NA KUREJEA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadik katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro KIA mara baada ya kumaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

John Kopwe wa PPF aibuka mfanyakazi bora

MFANYAKAZI bora wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, John Kopwe, toka Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala, akipokea cheti kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO MANNE ALIYOZUNGUMZA MBUNGE WA JIMBO LA MADABA MH. JOSEPH MHAKAMA.

Kutoka kushoto ni Mh.Rashidi Shangazi mbunge wa jimbo la Mlalo Wilaya ya Rushoto mkoani Tanga katikati ni Rauph Mohamedi mtangazaji wa Ruvuma TV na wa mwisho aliyeshika mic yenye nembo ya Ruvuma Tv ni...

View Article
Browsing all 116996 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>