Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117024

MAMBO MANNE ALIYOZUNGUMZA MBUNGE WA JIMBO LA MADABA MH. JOSEPH MHAKAMA.

$
0
0
Kutoka kushoto ni Mh.Rashidi Shangazi mbunge wa jimbo la Mlalo Wilaya ya Rushoto mkoani Tanga katikati ni Rauph Mohamedi mtangazaji wa Ruvuma TV na wa mwisho aliyeshika mic yenye nembo ya Ruvuma Tv ni Mh.Joseph Mhagama mbunge wa jimbo la Madaba mkoani Ruvuma.

 Mbunge wa Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma Mhe.Joseph Mhagama azungumzia mambo manne ambayo anapambana nayo kwa sasa katika jimbo lake katika kuhakikisha anawalete maendeleo wananchi wa jimbo hilo, Kwa undani wa habari hii, hii hapa video yake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117024

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>