
Kutoka kushoto ni Mh.Rashidi Shangazi mbunge wa jimbo la Mlalo Wilaya ya Rushoto mkoani Tanga katikati ni Rauph Mohamedi mtangazaji wa Ruvuma TV na wa mwisho aliyeshika mic yenye nembo ya Ruvuma Tv ni Mh.Joseph Mhagama mbunge wa jimbo la Madaba mkoani Ruvuma.