Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI INAUZWA

 Make: IVECO 4x4Kilometer:  16000 - 20000Sitting capacity: 23 pamoja na derevaExtras: Ina fridge (chumba) kikubwa kinachoweza kuhifadhi jeneza.Price: Sh.55 milioni (mazungumzo yapo) bila dalali wala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sherehe ya 48 ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya Katika viwanja vya...

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman ( wa pili kulia), Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu (wa kwanza kulia),na Majaji wa Mahakama ya Rufani pamoja na Naibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

wawili mbaroni kwa kumshambulia mbunge Machali wa NCCR-Mageuzi

Na. Jeshi la Polisi Dodoma.Jeshi la Polisi Mkoa Dodoma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumvamia na kumshambulia Mheshimiwa MOSES S/O MACHALI, miaka 31, Muha, Mbunge wa Kasulu Mjini kupitia...

View Article

mapitio ya magazeti leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif Iddi amtembelea Sheha aliemwagiwa Tindikali huko...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimuaga Sheha wa Shehia ya Tomondo Mohd Omar Said { Kidevu } anayekwenda Nchini India kwa Uchunguzi na Matibabu zaidi baada ya kumwagiwa Tindi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja watano wajizolea Milioni 2 kila mmoja za Cheka Nao

Meneja wa Idara ya Malipo ya Kabla wa Vodacom Tanzania, Yvonne Maruma (katikati) pamoja na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Bw.Matina Nkurlu (kushoto) wakichezesha droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE INAUZWA MKOANI GEITA

 MKURUGENZI WA KADI'S INVESTIMENT LTD ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA ANAUZA SHULE YAKE YA KADI'S ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL ILIYOPO WILAYANI BUKOMBE MKOANI GEITA. SHULE INAENEO LA HEKA KUMI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE ENEO MAALUM LA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia wakazi wa jijini Tanga, wakati alipofika eneo la Pongwe jijini Tanga leo Juni 21, 2013 kwa ajili ya kuweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RADIO ONE YAMFAGILIA DK. ASHA-ROSE MIGIRO KWA KUKIENZI KISWAHILI

Dr. Asha-Rose MigiroNAIBU Katibu Mkuu Mstaafu wa Umnoja wa Mataifa, Dk. Ash-Rose Migiro amesifiwa kwa umahiri wa wake wa kutoingiza athari za kiingereza katika kiswahili, anapozungumza au kuhutubia,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA PAMOJA CHA KUJADILI CHANGAMOTO ZA MUUNGANO MJINI DODOMA LEO

 Kutoka kushoto, katibu mkuu ofisi ya makau wa raisi bwana Sazi Salula, waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais Muungano mh. Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa mkutano,Mh Ali Juma shamhuna waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD WAZEE WA KAZI

TUNAHITAJI MADEREVA WAWILI WA MAGARI MAKUBWAGOOD NEWS FOR TANZANIAHUDUMA MPYA YA KIFURUSHI NEW DOOR TO DOOR SERVICETUNACHUKUA MZIGO MLANGONI KWAKO UK NA TUTAUFIKISHA MLANGONI KWAKO DARUKILIPA HAPA UK...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

mnara wa kumbukumbu ya marehemu Dkt Wilbert Kleruu

Wakazi wa Mkungugu tarafa ya  Isimani  wilaya ya  Iringa vijijini  wakipita  jirani na mnala  wa aliyekuwa mkuu  wa mkoa  wa Iringa marehemu Dkt.  Wilbert Kleruu  aliyeuwawa kwa  kupigwa  risasi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUCY TOMEKA ANYAKUA TAJI LA REDDS MISS KINONDONI 2013

 Mshindi wa Redds Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka akivalishwa taji lake na mrembo aliyekuwa akilishikilia taji hilo Redds Miss Tanzania 2012/2013, Bright Alfred. Lucy Tomeka aliweza kuchukua taji hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

lango kuu la mji wa singida

Unapoingia mji wa Singida ukitotokea Babati unakaribishwa na majabali haya ambayo wajenzi wa barabara wameamua kuyaacha ili kupendezesha mandhari na kutunza mazingira halisi. 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elikana, Eliud: Watoto walioungana wanaotumia njia moja kujisaidia: Kupelekwa...

Na Vicky Kimaro, MwananchiDar es Salaam. “Madaktari waliponiambia kuwa watoto wangu wameungana nilichanganyikiwa, niliona dunia imenigeuka, sikuwahi kuwaza nitakutana na kitu cha namna hii katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Machinga wakiendeleza libeneke eneo la Ubungo Mataa

 Kamera Man wa Globu ya Jamii,leo amefanikiwa kuzinasa taswirazz hizi za Wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga katika Mataa ya Kuongozea Magari,Ubungo Jijini Dar.Vijana wengi hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika wa Bunge Mstaafu,Mh. Samuel Sitta aagwa rasmi mjini Dodoma

Meza kuu wakati wa hafla hiyoSpika wa bunge Anne Makinda akizungumza katika hafla ya kumuaga Spika Mstaafu Samuel Sitta kwenye viwanja vya bunge Mjini Dodoma juni 21, 2013.Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Friends Rangers kuendeleza kichapo dhidi ya Stand United

Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Almas Kassongo (kushoto) akimkabidhi Sh 500,000, Meneja wa Friends Rangers, Shaaban Marsila mara baada ya timu hiyo kufuzu kucheza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matofali yakipigwa sop sop

 Mdau akipiga sop sop Matofali ikiwa ni sehemu ya kuyafanya yaimarike,kwani bila hivyo tofali ni sawa na bure kabisa.

View Article
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>