Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117285 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ULEGA AWATEMBELEA WANANCHI WA TAMBANI WALIOKOSA MAWASILIANO BAINA YA KIJIJI...

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega amewatembelea wananchi wa Kijiji Tambani ambao hawana mawasiliano ya kuvuka kwenda kutokana na daraja kuchukuliwa na maji....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA KIJIJI CHA IKUNGI AVULIWA MADARAKA.

MKUTANO maalum wa Kijiji cha Ikungi wilayani Ikungi mkoani Singida umemuondoa Mwenyekiti wa kijiji hicho Hussein Ikusi kutokana na matumizi mabaya ya madaraka kwa kufanya ubadhirifu wa mali za kijiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.MABODI: VIONGOZI WA CCM KUFANYENI KAZI ZA KIJAMII

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.WANANCHI visiwani vya Zanzibar wameshauriwa kuendeleza kwa vitendo Utamaduni wa uzalendo wa kusaidiana wakati wa maafa mbali mbali yanayotokea nchini bila kujadili tofauti za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWAKYEMBE AYAFAGILIA MASHINDANO YA DASANI MARATHON 2017

Mkurugenzi wa Michezo Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Yusufu Singo (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa mashindano ya mbio ya Km 21 ya Dasani Marathon 2017 baada ya...

View Article

Introducing "Nimechanganyikiwa" by Darbongo Massive ft. Chege

View Article


SIMU TV:HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yara yazindua maghala ya mbolea Rwanda, wakulima mbeya wafurahia ubora wa...

 Mkurugenzi wa kampuni ya Yara Mr. Alexandre Macedo (kati) akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa ghala la kuhifadhi mbolea nchini Rwanda. Mr. Macedo ni msimamizi pia wa Yara Rwanda na Burundi ambapo...

View Article

Bitdefender Antivirus blocks world’s most aggressive piece of ransomware with...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV. NYERERE KUFUNGWA INJINI MPYA

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt. Mussa Iddi Mgwatu, ametembelea na kukagua kivuko cha MV. Nyerere kinachotoa huduma kati ya Bugorola na Ukara katika kisiwa cha Ukerewe mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MAY 15,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEYA CITY YANOGESHA UMISSETA COPA COCA-COLA MBEYA

 Michezo ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari-UMISSETA Copa Coca- Cola kwa Mkoa wa Mbeya imezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Sokoine na uzinduzi huo ulionogeshwa na wachezaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WAFUNGUA STUDIO YA NYWELE, KUUZA SHANGA NA VITO CLEMMONS, NORTH...

Teddy na Talkia Tumbi ambao ni mtu na dada yake wamefanya uzinduzi wa studio ya nywele na kuuza shanga na vito (jewelry) iliyopo kwenye mji wa Clemmons, North Carolina nchini Marekani. Studio hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUAJIRI WATUMISHI WA KADA YA AFYA KUZIBA PENGO LA WENYE VYETI FEKI

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeahidi kuajiri watumishi wa idara ya afya ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi na watumishi ambao wameondolewa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAIPONGEZA TPSC KWA KUENDESHA MAFUNZO KWA MAMEYA NA WENYEVITI WA...

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Dk. Laurian Ndumbaro (kushoto) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za Mamlaka za Serikali za Mitaa (ALAT) Steven Mhapa (katikati) wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate awaomba watu maarufu kusaidia kuondoa changamoto katika sekta...

Mwanamitindo, muigizaji  na Miss Tanzania namba mbili 2006, Jokate Mwegelo ametoa wito kwa watu maarufu nchini kusaidia kuondoa changamoto katika sekta mbalimbali ili kupunguza mzigo kwa serikali....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL FOR ARTISTS 2017 : KARIBU MUSIC FESTIVAL 3rd (Fri) – 5th (Sun) NOVEMBER...

Karibu Cultural Promotions Organization in collaboration with Legendary Music Entertainment and Promotions Company Limited are organizing the 4th edition of the “Karibu Music Festival”, an annual Three...

View Article

The Avenue- Dicksound kutoka kuuza maji mtaani mpaka kuwa na biashara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNDI LA MTANDAO WA WHATSAPP LA "SARATANI INFO" LATOA MSAADA WA BIMA ZA AFYA...

Mabalozi wa Kundi la Mtandao wa Kijamii wa Whatsaap la Saratani Info wakiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC tayari kutembelea kitengo cha Saratani katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC.Mabalozi wa Kundi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUDUMISHA MATIBABU YA UZAZI PINGAAMIZI.

SERIKALI yaja na mpango mkakati wa kudumisha matibabu ya uzazi pingamizi ili kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano nchini Tanzania. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU ZA DAR ZAJITOKEZA KWA WINGI USHIRIKI MICHUANO YA KIKAPU

Uandikishaji ulifanyika Tegeta Complex jijini Dar es Salaam huku timu zaidi ya 20 zikijitokeza kujiandikisha. Michuani ya Sprite Bball Kings inaendeshwa na kituo cha Televisheni na Radio cha East...

View Article
Browsing all 117285 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>