Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117285

SERIKALI YAIPONGEZA TPSC KWA KUENDESHA MAFUNZO KWA MAMEYA NA WENYEVITI WA HALMASHAURI

$
0
0
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Dk. Laurian Ndumbaro (kushoto) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za Mamlaka za Serikali za Mitaa (ALAT) Steven Mhapa (katikati) wakati wakiingia ukumbi wa Mikutano wa chuo cha Ufundi Morogoro kufunga mafunzo ya Mameya, Wenyeviti wa Halmashauri, Madiwani na Waandishi wa Mihutasari wa Vikao vya Halmashauri mbalimbali nchini. Kulia ni Mkuu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dk Henry Mambo. TPSC ndio wanaendesha mafunzo hayo. 
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Utumishi na Utawala Bora Dk. Laurian Ndumbaro kwa Mameya, Wenyeviti wa Halmashauri, Madiwani na Waandishi wa Mihutasari wa Vikao vya Halmashauri , wa kwanza kushoto ni Gulahamfeez Mkadam Mwenyekiti wa Jumuiya za Mamlaka za Serikali za Mitaa (ALAT) ,wa tatu kushoto ni Meya wa Manispaa ya Morogoro Paschal Kihanga na wa kwanza kulia ni Mkuu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania Dk.Henry Mambo. TPSC iliendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na ALAT. 
Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania Dk. Henry Mambo akizungumza wakati wa mafunzo kwa Mameya, Wenyeviti wa Halmashauri, Madiwani na Waandishi wa Mihutasari wa Vikao vya Halmashauri mbalimbali nchini, mafunzo hayo ambayo yaliendeshwa na TPSC kwa kushirikiana na ALAT.
Baadhi ya wajumbe wa mafunzo ya Mameya, Wenyeviti wa Halmashauri, Madiwani na Waandishi wa Mihutasari wa Vikao vya Halmashauri mbalimbali nchini wakifuatilia mafunzo hayo ambayo yaliendeshwa na TPSC kwa kushirikiana na ALAT.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117285

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>