Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117024 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt Magufuli aapisha wajumbe wa Kamati Maalum ya kuchunguza kiwango cha...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Abdulkarim Hamis Mruma Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya kuchunguza kiwango cha aina ya madini yaliyomo kwenye mchanga...

View Article


KOCHA WA MAJI MAJI AHIDI USHINDI DHIDI YA TOTO AFRICA HAPO KESHO , ASEMA...

Kocha Msaidizi wa timu ya Maji Maji (Wanalizombe) , Habibu Kondo amewahakikishia wanachama wa Club ya Maji Maji na wadau wa soka mkoani Ruvuma kuwa timu hiyo haitashuka daraja , hivyo wawe na amani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTEUZI WA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC)

Kufuatia uteuzi wa Bibi Blandina S.J. Nyoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) tarehe 25/02/2017. Mhe. William V. Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOPHIA MJEMA KIPANDA MTI KILELE CHA SIKU YA UPANDAJI ILALA LEO

Msongola, Dar es Salaam.MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema amewataka watendaji wa Manispaa kuhakikisha wanazuia shughuli za kibinadamu ikiwemo ujenzi na kilimo katika maeneo oevu ili kulinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISHAPU YAPONGEZA SHULE KUMI BORA KWENYE MTIHANI WA TAIFA 2016

Walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wamepongezwa kazi nzuri na kupata matokeo mazuri ya shule zao za msingi katika mtihani wa taifa wa mwaka jana. Pongezi hizo zilitolewa jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLABU YA KILIFM SPORTS CENTER YAZINDUA MBIO ZA KILIFM INTERNATIONAL HALF...

Mwenyekiti wa KILIFM Sports Center akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu KILIFM International Marathon yanayolenga kuzuia mauaji ya Albino, utunzaji wa mazingira na uoto wa asili pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA YA VIONGOZI NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI LEO.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Viongozi na Waandishi wa habari wa Vyombo vya Serikali katika Semina ya siku moja iliyofanyika leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAFALI YA KWANZA YA TAASISI YA USIMAMIZI WA VIHATARISHI TANZANIA YAFANYIKA...

Mgeni rasmi Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Mohamed Mtonga, akimkabidhi cheti mhitimu, Elizabeth Titus Munthali, wakati wa sherehe ya mahafali ya kwanza ya Taasisi ya Usimamizi wa Vihatarishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI BOYS YAITANDIKA BURUNDI BAO 2-0 KAITABA MJINI BUKOBA LEO

Na Faustine Ruta, BukobaTimu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba imepoteza mchezo wake wa pili tena wa kirafiki baada ya kukubali kuchapwa bao 2-0 na Timu ya Serengeti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YATINGA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM KWA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI...

Beki wa Yanga, Deus Kaseke akijarimu kumdhibiti Mshambuliaji wa Azam FC, Salum Abubakar "Sureboy", katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara, uliochezwa jioni ya leo kwenye dimba la Taifa, Jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu wa Ethiopia amaliza ziara nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (kulia) akiagana na Waziri Mkuu wa Shirikisho la Kidemokrasia la Jamhuri ya Ethiopia, Mhe. Hailemariam Dessalegn mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA WASATU LEO UINGEREZA KWA MUZIKI

Na Freddy Macha Jumuiya ya Wasanii wa Tanzania Uingereza (WASATU) leo inazinduka kwa onesho la muziki Northampton.Onesho hilo litajumuisha wanamuziki wakongwe wa Kitanzania wakiwemo Saidi Kanda ( na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt Magufuli akutana na Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Kihindu Mwaminarayan...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Kihindu Mwaminarayan Sanstha(BAPS) Duniani Mtukufu Mahant Swami Maharaj mara baada ya kuwasili...

View Article


HERE IS MKULIMA MARKET AGAIN! DON'T PLAN TO MISS IT...

View Article

MICHUZI TV: YANGA SC YAPATA USHINDI WA BAO 1 - 0 DHIDI YA AZAM FC MCHEZO WA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE WEWE NI MIONGONI MWA WALIOSUBIRIA MWEZI APRILI KWA HAMU?

Na Jumia Travel TanzaniaKama kuna kitu ambacho wafanyakazi wengi wanapenda kusikia basi ni sikukuu au mapumziko. Kwani hupata fursa ya kutokwenda kazini, haimaanishi kwamba ni wavivu bali kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana wametakiwa kutumia sekta isiyo rasmi kujiajiri kwa maendeleo ya Taifa

Na: Genofeva Matemu – WHUSM, KataviVijana Mkoani Katavi wametakiwa kujitambua, kuchukua fursa na kuchangia maendeleo ya mkoa na taifa kwa kutumia malighafi zinazopatikana mkoani humo kuwekeza na kuacha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC PWANI AAGIZWA APIGE KAMBI MIONO BAGAMOYO

*Waziri Mkuu amtaka amalize migogoro ya wakulima, wafugaji WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Eng. Evarist Ndikilo apige kambi katika kata ya Miono wilayani Bagamoyo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA YAWAKOSESHA ZAIDI YA WANAFUNZI 150 VYUMBA VYA KUSOMEA SINGIDA

Na Jumbe Ismailly,Iramba Apr,02,2017 Maafa MVUA kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha kwa takribani nusu saa imeezua mapaa ya majengo ya shule ya sekondari New Kiomboi,iliyopo wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI APRIL 2,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article
Browsing all 117024 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>