Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117025

KOCHA WA MAJI MAJI AHIDI USHINDI DHIDI YA TOTO AFRICA HAPO KESHO , ASEMA MAJI MAJI HAITASHUKA DARAJA KAMWE

$
0
0
Kocha Msaidizi wa timu ya Maji Maji (Wanalizombe) , Habibu Kondo amewahakikishia wanachama wa Club ya Maji Maji na wadau wa soka mkoani Ruvuma kuwa timu hiyo haitashuka daraja , hivyo wawe na amani katika michezo hii iliyobakia lazima Maji Maji itashinda na kubaki ligi kuu Tanzania bara.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117025

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>