Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117167 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA MAWASIALIANO SERIKALINI WATAKIWA KUUZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI.

Na Beatrice Lyimo-MAELEZO, DodomaNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Bibi. Nuru Millao amewataka Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kuuza huduma zitolewazo na Wizara au...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZEI YA LEO JUMANNE MACHI 14,2017

Kupata mgazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIONS CLUB DAR ES SALAAM -PANORAMA YATOA TIBA YA MACHO KWA WAKAZI 2,000 VIGWAZA

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo (wa nne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na diwani wa Vigwaza Mohsin Bharwani (kulia kushoto kwake) pamoja na uongozi wa Lions club dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Muhongo azindua Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu mkoa wa Pwani

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati), Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo (wa kwanza kushoto), Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa pili kushoto),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

In Loving Memory

Born 06/04/1935 – Died 15/03/2016One year has passed since that sad day you departed from our midst to be with the Lord on 15/03/2016 . The heartbreak and pain that we felt has not and will never...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AWATAKA MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI KUTENDEA HAKI SHERIA YA...

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na wadhamini wa Kikao kazi cha 12 cha Maafisa Mawasiliano wa Serikali kinachofanyika Mkoani Dodoma.Kulia kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAUNI AWATAKA MAAFISA MAGEREZA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI NCHINI, AFUNGUA...

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (aliyevaa suti) akiongozwa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, (CGP) Dkt. Juma Malewa (mbele), kuingia ukumbini kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JALADA KESI YA NIDA LIPO KWA DPP

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa jalada la kesi  ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya bilioni 1.16 inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANTRADE yawapiga msasa watendaji kata 23 Temeke

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) , Bw. Edwin Rutageruka akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya biashara na ujasiriamali kwa maofisa watendaji kata wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALUM KABUNDA MCHEZAJI BORA VPL WA MWEZI FEBRUARI

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKIUNGO mshambuliaji wa Mwadui FC, Hassan Salum Kabunda amechaguliwa kuwa  Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Februari, mwaka huu.Ofisa Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO LA TANGA ATEMBELEA UJENZI WA MFEREJI WA MAGAONI UNAOJENGWA...

 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaji Mussa Mbaruku (aliyevaa shati la draft) wa kwanza kulia akiangalia namna uchimbaji wa mfereji wa kupitishia maji wakati wa mvua unavyochimbwa wakati alipofanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA BRAZIL NCHINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Brazil katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Carlos Alfonso lglesias Puente alipofika Ikulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MAKONDA AFANYA ZIARA BONDE LA MTO MSIMBAZI

 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika ziara ya kukagua sehemu zilizokumbwa na mafuriko katika bonde la Mto Msimbazi, baada ya mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA MAGEREZA KUPOKEA MAGARI 450 AINA YA ASHOK LEYLAND KWA SHUGHULI ZA...

Na Lucas Mboje, Dar es SalaamKAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini, Dkt. Juma Malewa(pichani) ameipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kufanikisha mchakato wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KWA KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA OPEN HEART YA...

Jumla ya wagonjwa 11 wamefanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalum ya matibabu ya moyo inayofanywa na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAZINDUA DUKA LA HUDUMA KWA WATEJA SHINYANGA

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imezindua Duka la Huduma ya wateja mjini Shinyanga kwa lengo la kurahisha huduma zinazotolewa na kampuni hiyo kwa wananchi wa mkoa wa Shinyanga.Mgeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOMA, TAMBWE WAENDELEA KUUGUZA MAJERAHA WAKATI YANGA IKIJIFUA

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKikosi cha Yanga kimeendelea na mazoezi yake leo kwenye Uwanja wa Taifa ikiwa ni maandalizi ya kuelekea mechi ya marudiano ya michuano ya  klabu Bingwa Afrika dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BancABC YAZINDUA AKAUNTI MAALUM NA YA KIPEKEE

 BancABC, ambayo ni sehemu ya Atlas Mara, leo imezindua bidhaa adimu itakayokuwezesha kuvuna riba hadi asilimia 16% kutokana na akiba maalum utakayojiwekea.Katika hali ya kawaida kama tulivyozoea,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MAKALLA AWAOMBA VIONGOZI WA DINI NA MILA KUWAEPUSHA WANANCHI NA IMANI ZA...

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makala  ameitisha kikao na viongozi Dini na mila kuwaomba msaada wa kukemea vitendo vya kishirikina katika mkoa huo. Makala amesema hayo katika kikao chake na Viongozi hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAHIDI DHIDI YA KESI YA WABUNGE WA CHADEMA WAFUNGWA

Na Karama Kenyunko.Upande wa Mashtaka katika kesi ya kujeruhi inayowakabili wabunge na makada wa Chadema wamefunga ushahidi wao. Katika kesi hiyo wabunge hao wanadaiwa kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa...

View Article
Browsing all 117167 articles
Browse latest View live