Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU LALA SALAMA, SIMBA YAIFUNGA RUVU SHOOTING 3-1

Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo (kushoto) akiwania mpira na beki wa Ruvu Shooting,  Shaban Suzan katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

mtu mmoja anaendelea kuhojiwa na polisi kufuatia mlipuko wa bomu arusha

Waumini wakiwa katika taharuki kufuatia mlipuko huo wa bomu jijini Arusha leo. Chini makachero wa polisi wakifanya uchunguzi eneo la tukio. Picha na Woinde ShizzaBaba Askofu Mkuu wa Jimbo la Kanisa...

View Article


Rais kikwete alaani shambulio la kigaidi arusha, aagiza waliohusika wasakwe...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa ya tukio la leo, Jumapili, Mei 5, 2013 la mlipuko kwenye Kanisa Katoliki la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMERA IPO SOKONI

Sale sale ofa nzuri kwa wateja mzigo umeingia mjini pata zipo kamera za 160000 na 170000 unapata pia memorycard yenye ukubwa Wa 8 GB bureeeeee sambamba na kamera ulionunua wahi zinapatikana dar er...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. SHEIN AWASILI PEMBA LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Wakuu wa vikosi vya Ulinzi Pemba alipowasili uwanja wa Ndege wa Karume,leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

kikao cha maandalizi kabla ya mawasilisho ya bajeti ya wizara ya mambo ya...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk. Emmanuel Nchimbi aliyekaa katikati akitoa maelekezo kwa Watendaji Wakuu wakiwemo Wakuu wa Idara na Maafisa Bajeti wa Taasisi zote za Wizara ya Mambo ya Ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SVG yatimiza mwaka mmoja kwa kupanda miti zaidi ya 1,500

Salasala Vision Group (SVG), ni kikundi cha wakazi wa salasala Kilimahewa wapenda maendeleo kichoanzishwa mwaka 2012. SVG ilianzishwa ikiwa na malengo ya kuleta maendeleo ya kijamii, kiuchumi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Winnie Shayo ndiye mshindi wa Redds Miss Hai 2013

Mshindi wa shindano la mrembo wa Redds Miss Hai 2013 Winnie Shayo( katikati) mshindi wa pili Mary Chemponda (kulia kwake) na mshindi wa tatu Catherine Leonard wakiwa katika picha ya pamoja mara baada...

View Article


BAD GYAL MUSIC VIDEO PROMO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA TUZO ZA TASWA KWA WAMAMICHEOZO BORA WA MWAKA YATOA MAPENDEKEZO YA...

KAMATI ya kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora wa Tanzania mwaka 2012 zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) imepokea mapendekezo ya majina ya wanamichezo kutoka vyama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KMKM MABINGWA WAPYA LIGI KUU ZANZIBAR 2013/14

Wachezaji wa Timu ya KMKM wakiwa pamoja na kocha wao Ally Bushiri wakishangilia ubingwa wa soka wa ligi kuu ya soka ya Grandmalt huko Zanzibar walioupata hivi karibuni. Wachezaji wa Timu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHAS yaaswa kujenga uwezo wa kufanya tafiti

 Baadhi ya washiriki katika Kongamano la Kwanza la Sayansi lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili (MUHAS) wakisikiliza kwa makini wakati wa kongamano hilo lililofungwa mwishoni mwa wiki jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatoa msaada wa vitabu kwa shule za sekondari Tanga

 Meneja Mauzo wa Airtel mikoa ya Tanga na Kilimanjaro Bw. Edmund Lasway akikabidhi baadhi ya vitabu vya sekondari kwa afisa elimu wa wilaya ya korogwe Bw. Shaaban Shemzighwa  ikiwa ni msaada ulitolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja Veteran yapata uongozi mpya

Mwenyekiti aliemaliza muda wake wa Umoja Veteran Bwana Nuhu akimkabidhi nguvu ya kuendeleza klabu Mwenyekiti mpya Ndugu Mallisa. Wakiangalia kwa makini ni Elia (Mweka Hazina) na Shaban michezo (Msemaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA ASHA BILAL AADHIMISHA SHEREHE ZA MIAKA 10 YA TAASISI YA MAZNAT NA...

 Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akiwasili kwenye Ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam jana jioni kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. SHEIN AZINDUA RASMI MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA KUSINI PEMBA LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mohamed Shein,akizindua mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa kwa kuuwasha huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba leo,(kulia) Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKATIZA ZIARA YA NCHINI KUWAIT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Mei 6, 2013, ameamua kukatiza ziara yake ya Kiserikali nchini Kuwait ili kurejea nyumbani kutokana na tukio la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWO HOT DALTONICS CHARITY CONCERT

The Italian Ambassador Hon. Pierluigi Velard (Third right) Adressing the media, Earlier today during the press confernce. The Egypt Air country Managing Director Mr. Hany Osman, insisting something to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA

Mamaku wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali mtoto Kelvin Albert (3) aliyelazwa katika Hospitali ya Mount Meru, baada ya kujeruhiwa katika tukio la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Sudani amtembelea Mangula leo

Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Bara),Ndugu Philip Mangula akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Sudani nchini Tanzania, Dr. Yassir M. Ali aliemtembelea leo kwenye ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar es...

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>