Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shamba la Mahindi la Mh. Pinda lawavutia Wengi Mkoani Katavi

Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda wakimuonyenyesha Mh. Dr Christian Mzindakaya shamba lao la mahindi lililopo katika kijiji cha kibaoni Mkoani Katavi,Wakati waliotembelea Shamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michuzi Blog Exclusive: Mashua yazama jirani ya kisiwa cha chumbe leo

 Baadhi watu waliokuwemo kwenye mashua hiyo wakijaribu kutafuta uelekeo mara baada ya mashua hiyo kuanza kuzama kwa sababu ambazo bado hazijajulikana. Bahati njema  baadae abiria wote waliokolewa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Warioba: Rais hakusema jipya kuhusu Katiba

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Warioba (katikati) akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam.Wajumbe wa Sekretarieti ya Tume,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wapeleka watoto madrassa badala ya Shule kukwepa Rushwa ya Mkuu wa Shule...

Mkazi wa Kimanzichana Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani Rajabu Juma Mkumba, akimuuliza maswali mbunge wa jimbo hilo Adam Malima (hayupo pichani) kuhusu kulipishwa mchango wa Shilingi elfu Ishirini ili...

View Article

ngoma azipendazo ankal - enzi hizo

Ngoma ya 'Asha' ya Tabora Jazz band miaka ya 70 ilikuwa haina mshindani

View Article


ngoma azipendazo ankal - kizazi kipya

Ngoma ya 'Gere' ya The Kilimanjaro Band "Wana Njenje" si ya mchezo. Ikipigwa lazima utamuonea gere bibie Nyota akiwa Jukwaani, hasa anapoita kabila moja moja kuonesha umahiri wake wa kunanihiii kiuno

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IN EVERLASTING MEMORY OF OUR BELOVED FATHER

LATE ROGATIAN M. SHIRIMADADDY WE MOURN AND GRIEF YOUR PASSING AWAY THREE YEARS AGO. HOWEVER THE IDEAS, VALUES AND MORALS YOU LIVED FOR AND THE LEGACY YOU LEFT BEHIND WILL LIVE MANY YEARS TO COME THAN...

View Article

RAIS KIKWETE AWASILI SINGIDA KWA ZIARA YA KIKAZI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akutana na Viongozi wa Mkoa wa Singida

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitumia laptop yake kuwaonyesha viongozi mbali mbali wa Mkoa wa Singida masuala muhimu ya maendeleo nchini,wakati alipowasili mkoani humo jana Januari 5 kwa Ziara ya kikazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPACHA WATATU KUFUNGUA MWAKA IJUMAA JANUARI 11

BENDI YA MAPACHA WATATU.(WAKALI WA TOWN) WANASHUKA NA ONESHO KABAMBEE LA FUNGUA MWAKA, NDANI YA  NEW MSASANI CLUB. IJUMAA HII YA TAREHE 11 MWEZI HUU JANUARI ,WAKISINDIKIZWA NA NYOTA WAZIRI NAKUNDI ZIMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Samwel Mlope anahitaji msaada wa Matibabu

MTOTO SAMWEL MLOPEUnaweza kujiuliza ni nini ambacho kimetokeza katika mgongo wa mtoto huyu?.Mtoto Samwel Mlope mwenye umri wa miaka kumi na moja(11) ambaye ni mkazi wa Mahenge ndani ya Manispaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWAJULIA HALI MAJARANI ZAKE KIJIJINI KWAO KIBAONI

Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiwa katika mazungumzo majirani zake,Mzee Bernard Malyatabu Mayala (88) akiwa na mkewe Bi. Bernadetha Kabandime Msuluba (79) wakati alipowatembelea na kuwajualia hali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWANGA PEPETA FC YAIKACHA KIJITONYAMA VETERANS FC LEADERS LEO

 Kipa wa timu ya Kijitonyama Veterans, Abdallah Omary (kulia) akiokoa moja ya hatari iliyoelekezwa langoni kwake, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa leo kwenye uwanja wa Leaders Club Kinondoni,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA) yasherehekea family...

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA),Charles Chacha (kulia) akimkabidhi kikombe cha ushindi kepteni wa timu ya Kombaini ya Makao Makuu ya TCAA,Maria Mamba ambaye ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA UCHIMBAJI MADINI WILAYANI SAME...

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Sazi Salula akizungumza na Mkurugenzi wa Baraza la hifadhi na Usimamizi wa Mazingira {NEMC] Eng Benventure Baya na Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makmu wa Rais Dk...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. SHEIN AZINDUA BOHARI YA DAWA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akifungua rasmini Bohari ya dawa iliopo maruhubi mjini Unguja ikiwa ni shamra shamra ya sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANANCHI FC NA MICOVILLA FC NGOMA DROO ZATOKA SARE YA 2-2

 Beki wa Mwananchi Fc, Muhidin Sufiani 'Sufianimafoto'(kulia) akimtoka mchezaji wa Micovilla, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama Dar es Salaam leo asubuhi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AHUDHURIA SHEREHE ZA KUSIMIKWA WAKFU ASKOFU DKT ALEX SEIF MKUMBO WA KKKT...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu wa Kanisa la KKKT baada ya  sherehe ya  Kusimikwa Wakfu Askofu Mkumbo katika kanisa la KKKT la Singida leo Januari 6, 2013 Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WA KINONDONI,MH. YUSUF MWENDA AZINDUA UJENZI BARABARA YA MAKOKA,KATA YA...

Meya wa Manispaa ya Kinondoni,Mh. Yusuf Mwenda (mwenye shati la kitenge) hivi karibuni alifanya ziara katika Kata ya Makuburi,jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Makoka...

View Article
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>