MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AFUNGUA MAFUNZO YA MAJADILIANO YA MIKATABA YA...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema akitoa nasaha wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya majadiliano kwenye mikataba ya kimataifa. Kushoto ni Lawrence Masha na kulia ni Michael Kamba...
View ArticleOmwana Maria Nestor's Memorial Mass Service At St Joseph on 25 April 13
It is now Six Years since you left us. May Good Lord Rest Our Sweet Mother Omwana Maria’s Soul in peace Amen. Omwana Maria is fondly missed by her children, family and friends. Real in memory of our...
View ArticleMWALIMU WA MUZIKI WA INJILI AFRIKA MASHARIKI,JOHN SHABANI AHITIMU ALAMBA...
Mchungaji mtarajiwa John Shabani (kushoto) akikabidhiwa shahada yake na Askofu Kitonga (Kiongozi wa makanisa ya Redeemed duniania), baada ya kuhitimu Mafunzo katika chuo cha kimataifa cha huduma...
View ArticleUjumbe wa Tanzania katika chakula cha pamoja na wafanyakazi wa Ubalozi wa...
Kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Fedha Bi. Ingiahedi Mduma, Mchumi Mwandamizi wa Mkakati wa kupunguza umasikini Afrika Bw. Yutaka Yoshino pamoja na mchumi wa...
View ArticleHuawei showcases convergent communication solutions in Dar es Salaam
Huawei’s Technologies Tanzania Product Manager Zeng Tao (left) briefs the Ministry of Communication Science and Technology, Assistant Director Manyiri Isack (right) on one of Huawei’s new products...
View ArticleSUMAYE AWAAMBIA WAHITIMU WA UALIMU MKOANI SINGIDA KUWA MALEZI YA WALIMU...
Waziri mkuu mstaafu, Mh. Frederick Sumaye akizungumza kwenye sherehe za mahafali ya sita ya wahitimu 1029 wa chuo cha ualimu mjini Singida. Kulia ni kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya...
View ArticleTACAIDS YATAMBUA MCHANGO NA JUHUDI ZA TANZANIA MITINDO HOUSE KUPIGA VITA...
MWENYEKITI WA TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA DR FATMA MRISHO AKIMKABIDHI BI KHADIJA MWANAMBOKA -MWENYEKITI WA TANZNAIA MITINDO HOUSE BARUA YA KUTAMBUA MCHANGO WAO WA KUPIGA VITA UGONJWA WA UKIMWI...
View ArticleSafari Lager yasherehekea ushindi wake na wananchi wa Mkoa wa Shinyanga
Wakazi wa Mji wa Shinyanga Mjini,wakiwa wamebebelea Vikombe vya Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager kule nchini Ghana hivi karibuni.Safari Lager ipo katika ziara ya...
View Articlewatuhumiwa 19 wa fujo za liwale mkoani lindi jana wahojiwa na polisi
Mnamo tarehe 23 April, 2013 majira ya saa tisa alasiri, huko wilayani Liwale mkoani Lindi, kundi la watu wanaodhaniwa kuwa ni wakulima wa Korosho walijaribu kuzuia gari lililokuwa na malipo ya korosho...
View ArticleRais Kikwete apokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi wapya Ikulu...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi wanne wanaoziwakilisha nchi zao hapa.Walioziwasilisha hati zao ni pamoja na Balozi Mpya wa Morocco nchini Tanzania...
View ArticleYanga yawataka mashabiki wake kujitokeza kwa wingi kwenye mechi yao dhidi ya...
UONGOZI wa Yanga umewataka mashabiki wao kujitokeza kwa wingi kwenye mechi yao dhidi ya Coast Union siku ya Mei Mosi kushangilia kutawazwa rasmi mabigwa wapya wa Tanzania.Yanga ambayo ina pointi 56...
View ArticleWAZIRI SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI BI. DIANNE MELROSE KWA...
Wazii wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchni Tanzania, Diana Melrose, wakati alipofika Ofisini kwa Waziri Mtaa wa Luthuli jijini Dar es...
View ArticleMAMA SALMA KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 40 YA Jhpiego
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,wama, Mama Salma Kikwete akipokewa rasmi na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Jhpiego nchini Tanzania, Bi Maryjane Lacoste kwenye hoteli ya...
View ArticleMchakato wa kumsaka Redd’ Miss Tanzania waaza rasmi
Warembo watakaowania taji la Redd's Miss Dar Indian Ocean wakimsikiliza kwa Umakini Mkurygenzi Mkuu wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Mashindano ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga wakati...
View Articletakriban wato 100 wapoteza maisha baada ya ghorofa kuporomoka Bangladesh leo
Jengo la ghorofa nane lililokuwa na viwanda vya nguo na maduka limeporomoka leo mchana nje ya jiji la Dhaka, Bangladesh, na kuua watu takriban 100 na kujeruhi wengine zaidi ya 1000, maafisa...
View Articlemadaktari bingwa kutoka Muhimbili watua Kigoma kuhudumia wananchi
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Issa Machibya akizungumza na timu ya madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Taasisi ya Mifupa (MOI) mara baada ya kumalizika kwa zoezi la kuhudumia mamia ya...
View Articlehepi besdei mwanalibeneke edwin Moshi
Habari wadauAnaitwa Edwin Moshi a.k.a Eddymoblaze.Ni mwanalibeneke anayemiliki mtandao wa:www.eddymoblaze.blogspot.comAnapenda kuchukua fursa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama siku...
View ArticleZitto Kabwe atoa majibu kwa Umma kuhusu Habari za mama yake Mzazi Bi. Shida...
Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mhe. Zitto Kabwe--Nimekuwa naulizwa kuhusu Habari za mama yangu Mzazi Bi. Shida kuvamiwa na kutishiwa bastola. Nawajibu watu Kwa ujumla...
View Article