Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116885

Safari Lager yasherehekea ushindi wake na wananchi wa Mkoa wa Shinyanga

$
0
0
 Wakazi wa Mji wa Shinyanga Mjini,wakiwa wamebebelea Vikombe vya Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager kule nchini Ghana hivi karibuni.Safari Lager ipo katika ziara ya kuutembeza ushindi huo mikoani kwa wanywaji wa Bia hiyo,ambapo leo hii wapo Mkoani Shinyanga wakisherehekea ushindi huo na wakazi wa Mkoa huo.
Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Shinganya Mjini wakiwa wamekusanyika kwenye Stendi Kuu wa Mabasi yaendayo Mikoani kushuhudia Burudani iliyokuwa ikitolewa na Kundi la Muziki wa Dansi la Safari Lager ambalo lipo katika ziara hiyo ya kutembeza Vikombe vya ushindi wa Bia yao ya Safari Lager.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 116885

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>