Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK EMMANUEL NCHIMBI AZINDUA HUDUMA ZA DUTY FREE SHOPS KATIKA JESHI LA...

 Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja (kulia) akimkaribisha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) kabla ya uzinduzi wa Supermarket ya kwanza katika...

View Article


ngoma azipendazo ankal - enzi hizo

 Tancut Orchestra ya mjini Iringa enzi hizo walikuwa si mchezo. Hebu wacheki kina Abdul Salvador, John Kitime, Kasaloo Kyanga na Kyanga Songa, Kawelee Mutimana na wengineo wakikupa 'Safari sio kifo'...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

menyu mpya break point ya mjini

Hii ne menyu mpya katika kiota cha Break Point cha mjini, Dar es salaam

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa za kinatharia Kupitia Vyombo vya Habari

Kama jibu  kwa taarifa za kupotosha za hivi karibuni kutoka kwa vyombo vya habari, Bodi ya fastjet ingependa kuchukua fursa hii kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zisizo za kweli na za kuchafua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK katika mkutano wa SADC nchini Msumbiji

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji wakiwa katika mkutano wa wakuu wa ncho za Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika SADC jijini Maputo Msumbiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

basata yabariki tamasha la pasaka

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limetoa kibali kwa ajili ya Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Machi 31 mwaka huu jijini Dar es Salaam.Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

harrymo body shop

Duka la products from US za bath n body na Victoria secret. Ni bath gel,lotion,body splash,perfume,home fragrance,hand sanitizers,miwani,accessories etc, hizi zote ni kwa wanawake na wanaume. kwa ajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA HABARI WA SERIKALI WAMALIZA KIKAO CHAO MJINI DODOMA, WATEMBELEA BUNGE...

Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Habari Bw. Raphael Hokororo akiwafundisha maafisa habari na mawasiliano wa serikali kutoka Wizara, Taasisi, wakala, mashirika ya Umma, mikoa na wilaya upigaji wa picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM

Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi itafanya Mkutano wake wa kawaida kuanzia tarehe 10 -11 /02/2013. Kikao hicho kitaongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA AKIBA NA KUKOPA CHA JESHI LA MAGEREZA NCHINI (TPS-SACCOS) CHAPATA...

Kamishna wa Huduma za Urekebishaji wa Jeshi la Magereza, Dionece Chamulesile akitoa hotuba ya kuufunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Pili wa TPS Saccos uliofanyika mjini Morogoro. Wajumbe wa Bodi ya TPS...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mdau Gustav Mwaifunga na Bi. Dorcas Dominic wameremeta leo jijini Dar

Mdau Gustav  Mwaifunga na Bi. Dorcas Dominic Kyoba wamemeremeta na kuwaka waka leo jijini dar es Salaam baada ya wote kwa pamoja kuamua kuamua kuachana na chama cha makapera.Mdau Gustav ni Muajiriwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt Shein katika maulid Tumbatu, Jongowe

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kufungua zawia ya Tumbatu Jongowe,alipohudhuria katika maulidi ya Mtume Muhamad (SAW)yanayosomwa kila...

View Article

ngoma azipendazo ankal - enzi hizo

Msanii GATHO BEEVENS alipokuja na ngoma ya "Azalaki awa" alitetemesha kiasi. Sijui yuko wapi siku hizi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Orton na Zainab wameremeta

Mdau Orton Peterson Kiishweko akiwa kwenye pozi na mai waifu wake Zainab wakati wa mnuso wa kusherehekea kumeremeta kwao usiku huu kwenye ukumbi wa NSSF Waterfront hall jijini Dar.Mdau Orton Peterson...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA KUTETEA HAKI ZA WANAUME TANZANIA

 KATIBU WA UHAMASISHAJI WA  TANZANIA MEN'S RIGHTS ASSOCIATION (TAMRA) TAIFA BWANA HATIBU MGEJA (SHOTO) AKIWA NA MWEKA HAZINA WA TAMRA TAIFA BWANA JUMA KOMBO. KUPATA HABARI KAMIRI BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

kazi na dawa

Spika wa Bunge, Mhe Anne Makinda akicheza muziki na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mhe undu Lissu kwenye sherehe za kuuaga na kukaribisha mwaka mpya kwenye Viwanja vya Bunge Dodoma juzi usiku...

View Article

matokeo ya kidato cha nne bado hayajakamilika - NECTA

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limesema  matokeo ya kidato cha nne bado hayajakamilika na kuwa habari zilizozagaa wiki hii kuwa yapo tayari si za kweli.Hata hivyo Baraza hilo limebainisha kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ernest makulilo celebrates his son's 2nd birthday

Benedikt Fulbright MakuliloWHEN LOOKING AT YOU, BENEDIKT,  HAPPY 2ND BIRTHDAY!My dearest son, Benedikt Fulbright Makulilo,Guess what Benedikt? It is another February 10th. On every change of calendar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimanjari Marathon wataja njia za mbio hizo mwaka huu

Waandaaji  wa mashindano ya  mbio za Kilimanjaro Marathon 2013 wametangaza kwamba mbio za mwaka huu zitafanyika katika njia zile zile zilizotumika mwaka jana. Mbio hizo limepangwa kufanyika Machi 3,...

View Article

Balozi mpya wa Uingereza nchini Tanzania Dianna Melrose akaribishwa

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>