Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117016 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA SOKO LA AJIRA VETA ATEMBELEA BANDA LA VETA KATIKA MAONESHO YA...

Umeonaa! Hivi ni kazi yangu nikimaliza najiajiri. Ndivyo anavyoelekea kusema mwanafunzi Paulina Emmanuel anayejifunza masuala ya ubunifu wa mavazi na mitindo katika chuo cha VETA Chang’ombe Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaskazini Unguja yaongoza kwa ajali barabarani

Na Salum Vuai, MaelezoWATU 52 wamepoteza maisha na wengine 332 wamejeruhiwa kutokana na ajali 175 za barabarani zilizotokea katika Mkoa wa Kaskazini Unguja kati ya Januari mwaka 2011 hadi katikati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE NA WAKE WA MARAIS WALIOKUWA KWENYE MKUTANO WA SMART...

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiandamana na Mheshimiwa Inagosi Bulo kutoka DRC (kushoto) na Inkhosikati Lambikiza wa Swaziland na Mama Charlotte Scott wa Zambia wakiwa nje ya banda la Zanzibar mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUDUMA ZA NSSF ZAVUTIA WENGI SABASABA

Banda la NSSF linavyoonekana kwa nje.Meneja Kiongozi Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya maofisa waandamizi wa NSSF katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 23

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 22

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHILOLE NA MASANJA WAHUDHURIA TAMCO FAMILY DAY DMV

Shilole (kati) akipata picha ya pamoja na Bwn. Idd Sandaly(kushoto) Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Kikwete awataka watanzania kuthamini bidhaa zinazozalishwa nchini

Watanzania wametakiwa kujifunza kuthamini vitu vya kwao na kuona kuwa ni bora zaidi kwa kufanya hivyo hata wageni watavipenda kwani bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi hazitapandishwa thamani na watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNEC Magesa akutana na mjumbe wa NEC ya chama tawala cha Ghana mjini Accra

Mjumbe wa NEC Ndg. Phares Magesa akisalimiana na Mjumbe wa NEC ya Chama tawala Cha Ghana Mhe. Mensah ambaye ni Mbunge wa Greater Accra na Waziri wa Serikali ya Ghana walipokutana katika mazungumzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU HAWA WANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KOKOTE WALIPO

Jeshi la Polisi linazo taarifa za kuaminika kuhusu watu hawa, wanaoonekana katika hizo picha hapo chini, ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vikubwa vya kihalifu hapa nchini na katika maeneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIPO TAYARI KUUTUMIKIA UMOJA WA MATAIFA –LUTENI JENERALI MELLA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akiwa na Mkuu mpya ya UNAMID Luteni Jenerali Paul Ignace Mella na kulia ni Luteni Jenerali Wynjones Mathew Kisamba Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFALUME MSWATI III WA SWAZILAND AZINDUA RASMI MAONESHO YA BIASHARA YA...

Mfalume Mswati III wa Swaziland akitoa hotuba yake wakati wa Uzinduzi Rasmi wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba, Jijini Dares Salaam(Kushoto kwa King Mswati III) ni Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajasiliamali wa Safari Wezeshwa jijini Mwanza,wakabidhiwa vifaa vyao

Mkuu wa Wilaya ya Mwanza,Amina Masenza(wa pili kushoto) akimkabidhi mjasiliamali Trekta(Power Tiller) na tela lake ,Shingi Jumanne wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA OBAMA YAKAMILIKA, TASWIRA ZA IKULU ASUBUHI HII

Taswira mbalimbali zinazoonesha maandalizi ya mapokezi makubwa ya Rais wa Marekani Barack Obama atapowasili Ikulu jijini Dar es salaam mchana huu. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama ilivyo kawaida yake...

View Article


Mapitio ya magazeti leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHOKOZI WA KING KINYA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Morogoro, Mwanza, Temeke wapata mabingwa ARS

Kiungo wa timu ya Garden, Juma Masoud (kulia) akiwania mpira na beki wa Mapambano, Said Ally katika mchezo wa fainali mashindano ya Vijana U-17 Airtel Rising Stars,kwenye Uwanja wa Tualipo Dar es...

View Article

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA DENGUE “DENGUEFEVER”

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS BARACK OBAMA AWASILI NCHINI MCHANA HUU

 Rais Barack Obama wa nchini Marekani na Mkewe Michelle Obama wakiwa sambamba na watoto zao,wakiwasili chana huu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere,jijini Dar es Salaam mchana huu...

View Article
Browsing all 117016 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>