Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117028 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi arejea Zanzibar...

Na Othman Khamis Ame, OMPRMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewasili Zanzibar mapema leo asubuhi akitokea nchini India ambako alifanya ziara ya wiki moja.Kwenye uwanja wa ndege...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA, YAANZA KUPITIA...

 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba,  akitoa ufafanuzi  kuhusu utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Bajeti ya mwaka wa fedha wa  uliopita katika Kikao cha Kamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARUSI YA MWANAHABARI GEORGE BINAGI WA LAKE FM MWANZA.

 Jumapili March 26,2017 ilikuwa siku muhimu kwa mwanahabari wa 102.5 Lake Fm Mwanza na mwanablogu wa BMG, George Binagi wa Tarime Mara pamoja na Miss Upendo Kisaka wa Moshi Kilimanjaro baada ya kuuaga...

View Article

BBC DIRA YA DUNIA ALHAMIS 30.03.2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17

Na Faustine Ruta, BukobaTimu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba imeanza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kwa kichapo cha bao 3-0 na Timu ya Vijana maarufu kwa jina la Serengeti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI AHANI MSIBA WA SIR GEORGE KAHAMA JIJINI DAR...

 Mke wa Rais Mama  Janeth Magufuli akimpa pole   Mama Janeth Kahama, Mjane wa mwanasiasa  mkongwe na Waziri wa Kwanza wa Ushirika na Masoko katika Baraza la Mawaziri chini ya Serikali ya Madaraka na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI HAITAVUMILIA WAKANDARASI WAZEMBE - WAZIRI MKUU

*Amtaka Waziri wa Maji avunje mkataba ifikapo Mei 31*Ni mkandarasi aliyenyang’anywa pasipoti na Rais MagufuliWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitavumilia wakandarasi wasio na uwezo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hali ya Mzee Haji Gora Haji mtunzi wa ‘Mpewa Hapokonyeki’ ilivyo sasa...

Na Salum Vuai, MAELEZO - ZanzibarJUMATATU ya tarehe 27 Machi, 2017, niliamua kuakhirisha mambo yangu mengine yaliyokuwemo kwenye ratiba yangu na kuamua kufunga safari hadi mtaa wa Chumbuni, Wilaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII MSIVUKE MIPAKA KATIKA UTENGENEZAJI WA KAZI ZENU KWA KUVUNJA SHERIA ZA...

Na Raymond Mushumbusi WHUSM DodomaWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe ametoa wito kwa wasanii nchini kutovuka mipaka katika utengenezaji wa kazi zao mpaka kufikia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACACIA should be more transparent to Tanzanians

 A stop order issued by Tanzania Government on March 3rd 2017 barring mining companies to export copper concentrates for smelting outside the country has significantly exposed Acacia, which exports the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MARCH 31,2017

KUSOMA ZAIDI MAGAZETI YA LEO BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake, vijana tegemeo katika kumaliza machafuko nchini Somalia

Wanawake na vijana ni nyenzo muhimu katika uhamasishaji wa kumaliza machafuko yanayoendelea nchini Somalia, wakati kundi hilo pia likilengwa zaidi na vikundi vya kigaidi kutumika katika matukio ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIEZI MINNE BAADA YA UZINDUZI WA NDEGE MBILI ZA ATCL (BOMBARDIER), WAKUSANYA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL, Bw. Lasislaus Matindi anasema wamefanikiwa kukusanya Shilingi Bilioni 9 kwa Miezi minne tu kwa kutumia ndege hizo mbili zilizonunuliwa na Rais Dkt. John...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: MBUNGE DKT. ELLY MARKO MACHA AFARIKI DUNIA

View Article

INTRODUCING: Lil Crama ft. D Rhodes - "Hard" (Official Music Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA MAHAFALI YA 35 YA CHUO CHA ARDHI MOROGORO

Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akiongoza maandamano na viongozi wa Chuo cha Ardhi – Morogoro, pamoja na Mkuu wa Chuo cha Ardhi –...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

huduma ya M-Pesa yarahisishwa zaidi, Ni kutokana na kuboreshwa zaidi kwa...

Wateja wa mtandao wa mawasiliano wa Vodacom Tanzania Plc, kuanzia leo wataanza kunufaika na programu mpya  na ya kisasa zaidi katika kufanya miamala yao kupitia huduma ya M-Pesa ambayo itawezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi Wa OSHA Wapewa Changamoto

Mabadiliko ya mazingira ya ufanyaji biashara yanayoletwa na maendeleo ya uchumi wa viwanda pamoja na mnyororo wa thamani, yameelezwa kuwa changamoto kubwa katika jitihada za kuimarisha hali ya usalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUTOKA UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM)

Tunawashukurukwa kupokea wito wetu na kuja, karibuni sana tunawaahidi kwamba tutaendelea kushirikiana nanyi katika kila hatua. Aidha Umoja wa Vijana wa CCM unavipongeza sana vyombo vyote vya habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KUKABILIANA NA KIPINDUPINDU YAKUTANA KUANDAA MPANGO MKAKATI WA...

Na Khadija Khamis –Maelezo Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Dkt Fadhil Moh’d Abdalla ameitaka jamii kubadili tabia kwa kuweka mazingira yaliyowazunguka safi na kuhakikisha wanatumia maji safi na...

View Article
Browsing all 117028 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>