Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117044

MAADHIMISHO YA MAHAFALI YA 35 YA CHUO CHA ARDHI MOROGORO

$
0
0
Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akiongoza maandamano na viongozi wa Chuo cha Ardhi – Morogoro, pamoja na Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora, Bwn. Justo Lyamuya, wakati wa maafali ya 35 ya chuo cha Ardhi – Morogoro.
Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akitoa hotuba katika maafali ya 35 ya Chuo cha ardhi Morogoro, kushoto kwake ni Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Morogoroius; Bwn. Desderius Kimbe, anayemfuatia ni Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora; Bwn. Justo Lyamuya.
Katika picha ya pamoja na wahitimu na baadhi ya wanafunzi, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka, kushoto kwake ni; Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Morogoro Bwn. Desderius Kimbe na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora, Bwn. Justo Lyamuya. 
Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora, Bwn. Justo Lyamuya akitoa maelezo ya kina kuhusu matumizi ya kifaa cha upimaji Ardhi kwa baadhi ya waalikwa wa Maafali ya 35 ya Chuo cha Ardhi – Morogoro.
Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akifuatilia kwa makini maelekezo ya Mwanafunzi wa Chuo cha Ardhi – Morogoro, ambaye alikuwa akionyesha jinsi ya kutumia kifaa cha upimaji Ardhi, wakati wa maafali ya 35 ya chuo cha Ardhi – Morogoro.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117044

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>