Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

USAHIHI WA MATUMIZI YA KASMA MAALUM YA UJENZI WA MIRADI YA BARABARA NCHINI...

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA UJENZI          TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI30/05/2013Baadhi ya vyombo vya Habari vimekuwa vikitoa taarifa potofu kwamba kumekuwepo na upotevu wa shilingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nay wa Mitego,Mb Dog na wengine kibao kukutana Dar Live jumamosi hii

ONYESHO kubwa ambalo ni uzinduzi wa Shindano la QS Queens 'Utamu Extra' linalotarajiwa kufanyika Jumamosi ya kesho ya Juni Mosi katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala, pia limepangwa kuwa sehemu maalum ya...

View Article


BREAKING NYUZZZZ......: TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WAKAZI WA KIGOMA CHANGAMKIENI PROMOSHENI ZA VODACOM"

 Rai hiyo imetolewa na Mzazi wa kijana aliyeshinda shilingi milioni 100, katika Promosheni ya “VODACOM MAHELA” Bw. Nicodemus Nalisis ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa Kigoma kujenga tabia ya kushiriki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA ALIYECHOMWA MOTO NA VIBAKA LINDI AKIWA HOSPITALI

Na Abdulaziz Lindi Kijana Ismai Mayoba (31) anaefanya kazi Bar ya Mangrove,Mkazi wa Jamhuri Manispaa ya Lindi ambaye amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na kundi la Vijana waliotaka kumpora na hatimae...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fainali za Safari Pool kwa vyuo vya elimu ya juu kufanyika wikiendi hii...

 Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza siku ya Fainali ya Mashindano ya Mchezo wa Pool kwa Vyuo vya Elimu ya Juu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK.SHEIN ATEMBELEA MJI WA NANJING JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA LEO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein katikati wakiwa katika picha ya pamoja na Viongizo wa Kampuni ya Teknolojia ya mawasiliano ya...

View Article

NEWS ALERT: Rasimu ya Katiba kuzinduliwa Jumatatu, Juni 3, 2013

Tume ya Mabadiliko ya Katiba inapenda kuwafahamisha wananchi wote kuwa itafanya uzinduzi wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku ya Jumatatu, Juni 3, 2013, kuanzia saa 8:00 mchana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD WAZEE WA KAZI GOOD NEWS FOR TANZANIA

HUDUMA MPYA YA KIFURUSHI NEW DOOR TO DOOR SERVICETUNACHUKUA MZIGO MLANGONI KWAKO UK NA TUTAUFIKISHA MLANGONI KWAKO DARUKILIPA HAPA UK HAULIPI TENA DAR, SISI TUTAKULETEA MZIGO NYUMBANI KWAKO!Baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutoka Bunge Mjini Dodoma leo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni mjini Dodomamay 30, 2013. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Mary Nagu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema wakiteta Bungeni Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA MZITO GLOBU YA JAMII

Marehemu Felician M. MakwaiaMICHUZI MEDIA GROUP Inasikitia kutangaza kifo cha Mzee Felician M. Makwaia ambaye bi baba mzazi wa mmoja wa wakurugenzi wake Bw. Christopher Makwaia, kilichotokea leo May...

View Article

Ushauri kwa Wanyarwanda:Sioni kosa la Kikwete

Na Mzalendo Albert, ArushaAlichokisema Rais Jakaya Kikwete kwenye mkutano wa kutafuta amani nchini DRC hakina ubaya wowote, kupelekea Wanyanrwanda wamjie juu na kuanza kumshambulia kwa lugha ambazo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mdau Shafii Dauda ashuhudia jinsi wazee wa kazi wanavyopiga boxi, awapa ofa...

Mdau Shaffih Dauda wa Clouds FM akiongozana na Ismail Sota walitembelea ofisi za SERENGETI FREIGH UK huko Uingereza kujionea jinsi boxi linavyopigwa Pamoja na kujionea wazee wa kazi wakipiga boxi.Mdau...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AfDB Annual Meetings: Ask your questions LIVE to the Vice President of the...

Finance Vice President of the African Development Bank (AfDB) Charles Boamah will host an online press conference on the last day of the Annual Meetings of the African Development BankMARRAKECH,...

View Article

TOP PRODUCER P-FUNK afunguka kwa kifo cha Mangwear

Courtesy of GongaMx

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

piga kura yako kwa Mshiriki umpendae kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za...

Je,Ushapiga kura yako kwa Mshiriki umpendae kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za Kili??Kama bado Piga sasa,ambapo utamuwezesha Mshiriki upendaye kupata Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

kinana na ujumbe wake waendelea na ziara yao wilayani makete mkoani njombe.

Mkuu wa Wilaya ya Makete,Mh Josephine Matiro akimuongoza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na ujumbe wake,mapema jana alipokuwa akikagua uhai wa mashina ya chama hicho katika kijiji cha Tandala,Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURIANI MPIGANAJI ERNEST ZULU

 Wa pili kutoka kushoto ni Kamishna wa Bunge Mhe. Abdul Karim Shah (Mb), Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashilillah, ndugu wa mke wa marehemu Zulu na mke wa marehemu Ernest Zulu nyumbani kwa maerhemu Zulu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU MBILI ZA TANZANIA KUSHIRIKI KATIKA KOMBE LA AFRICAN NATIONS CUP...

WATANZANIA MLIOPO UINGEREZA HUSUSAN LONDON NA VITONGOJI VYAKE  MNAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUZISHANGILIA TIMU ZETU TANZANIA BARA   NA  ZANZIBAR ISLANDS.KUANZIA  JUMAMOSI YA  TAREHE 01/ 06/...

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>