Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 119823 articles
Browse latest View live

SIMU TV: UCHAMBUZI WA MAGAZETI LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujue kwa Undani wa Unaoitwa Ukanda wa Gaza

Na Mchambuzi wetu Geofrey Chambua.Jana ziliripotiwa taarifa kupitia BBC kwamba ndege za kivita za Israeli zimetekeleza msururu wa mashambulizi ya asubuhi mapema huko Gaza Likishambulia maeneo manne...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YASAJILI WANACHAMA WAPYA LUKUKI KWENYE MAONYESHO YA 40 YA BIASHARA YA...

Wanafunzi wa chuo Cha Uhasibu (TIA), jijini Dar es Salaam, wakipatiwa maelezo ya huduma mbalimbali zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF walipotembelea banda la Mfuko huo lililoko jingo la Wizara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA NEW HOPE FAMILY WAPATA MSAADA WA BAISKELI...

Mkurugenzi Mkuu wa maduka ya woolworths nchini ,Joehans Mgimba akisalimiana na baadhi ya  Watoto wanaolelewa katika kituo cha New Hope Family Group, kilichopo Mwasonga Kata ya Kisarawe , Kigamboni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkazi wa Mwanza ajishindia milioni 20 za promosheni ya Vodacom

Mkazi wa kitongoji cha Mkoani kilichopo Nyamagana jijini Mwanza,Shomari Almas ameibuka mshindi mwezi wa kitita cha shilingi milioni 20 kupitia promosheni ya ”Kamata Mpunga”inayoendeshwa na Vodacom...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KAMILI YA MSIBA WA ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA KILINDI MAREHEMU...

Familia ya Bwana William H. Shelukindo, inasikitika kutangaza kifo cha Bibi Beatrice Matumbo Shelukindo (pichani) kilichotokea siku ya Jumamosi 2/7/2016 huko Arusha. Mipango ya mazishi inafanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MWISHO YA MPIGANAJI MWENZETU OMAR MASOUD

Sehemu ya Waombolezaji waliojitokeza kumsindikiza Mpiganaji mwenzetu aliekuwa Mpiga picha wa Kampuni ya Azam Tv, Marehemu Omar Masoud aliefariki Dunia jana kwa ajali ya pikipiki aliyoipata eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYAWI HAYAWI, SASA YAMEKUWA............ MDAU AVUTA JIKO

Hatimae mdau mkazi wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa, amevuta rasmi jiko a.k.a mwandani wake baada ya kukaa vikao kwa muda mrefu na hatimae mambo yamejipa leo. hizi ni baadhi ya taswira mbalimbali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUWATOA WASHELISHELI, SASA SERENGETI BOYS KUKABILIANA NA MITIHANI...

Baada ya kuwatoa Shelisheli kwa jumla ya mabao 9-0 katika mechi zake mbili za kimataifa , timu ya soka ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’, imebakiza mitihani miwili kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLABU YA GOLF YA JWTZ LUGALO YAPATA UONGOZI MPYA

Na Selemani Semunyu - JWTZKLABU ya Golf ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi  wa Tanzania ya  Lugalo Jijini Dar es Salaam imeahidi  kuendeleza Uwanja na klabu hiyo na kuwa na mafanikio makubwa kimataifa...

View Article

SIMU TV: Wakazi wa Chamazi Walia na TANESCO

BOFYA HAPA KWA HABARI MBALIMBALI TOKA VITUO VYA TELEVISHENI NCHINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI WA MCHUNGAJI DANIEL KULOLA WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA...

Bwana Harusi, Richard Jeremiah Gwapulukwa (kushoto) wa Kasamwa mkoani Geita, amefunga ndoa na Happness Daniel Kulola (kulia) ambae ni binti wa Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala...

View Article

Balozi Wilson Masilingi, azungumza na Watanzania wa Jumuiya ya Kiislamu...

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe.Wilson Masilingi, kizungumza na Watanzania wa Jumuiya ya Kiislamu waishio Washington DC (TAMCO) mara baada ya Iftar ilioandaliwa rasmi na jumuiya hiyo Siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMEPOTEA ! ANATAFUTWA NA FAMILIA YAKE

Bwana Philemon Anamwikira Ikaa Munuo, Anayeoneka Kwenye Picha Hapo juu anaitwa Philemon Anamwikira Ikaa Munuo, umri miaka (61) ametoweka kuuanzia siku ya juma tano tar.29.06.2016 Nyumbani kwake Bunju B...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha wa kimataifa wa kuogelea asema siku moja Tanzania itatoa mabingwa wa Dunia

Wakufunzi wa kimataifa wa mchezo wa kuogelea wa klabu bingwa ya Mashariki ya Kati (Middle East) ijulikanayo kwa jina la Hamilton Aquatics ya Dubai, Nebojsa Durkin ma Katy Morris wamesema kuwa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AFUTURU KATIKA MSIKITI WA KHOJA SHIAITHNA-ASHERI -DAR ES SALAAM.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na viongozi wa Msikiti wa  Khoja Shia Ithna-Asheri wa jijini Dar es salaam wakati alipowasili msikitini hapo kushiriki katika fuatari Julai 3, 2016.  Kushoto...

View Article

DONDOO ZA HABARI MAGAZETINI LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA KIFO

Marehemu Mr. Amani Mshana  (1982 – 2016)Mkurugenzi wa Halimashauri ya Wilaya ya Misungwi Bwana Nathan Mshana anasikitika kutangaza kifo cha mototo wake AMANI MSHANA, kilichotokea jumapili tarehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KUTOKA WILAYANI KARAMBO MKOANI RUKWA.

Baadhia wakina Mama Wajasiliamali wafanyao Biashara zao kandokando ya Barabara ya kuelekea Bandari ya Kasanga kutokea Sumbawanga Mjini wakiwa katika Eneo lao la Biashara kama ambavyo waonekanavyo hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDG. PHILBART GWAGILO ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE.

Jina: Philbart Patrick GwagiloUmri miaka kwa sasa 29 alipotea akiwa na umri wa miaka 27.Kabila: MuhaDini: MkristoMkoa alipozaliwa: Kigoma Wilaya ya Kasuru.Maeneo anayopenda kutembelea: Sinza, Kibamba...

View Article
Browsing all 119823 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>