Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 119857

BINTI WA MCHUNGAJI DANIEL KULOLA WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA APATA MWENZA

$
0
0
Bwana Harusi, Richard Jeremiah Gwapulukwa (kushoto) wa Kasamwa mkoani Geita, amefunga ndoa na Happness Daniel Kulola (kulia) ambae ni binti wa Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza.

Ndoa imefungwa katika Kanisa hilo hii leo na Mchungaji Paul Thomas Bagaka ambae pia ni msajili wa ndoa Manispaa ya Ilemela. Hafla ya ndoa hiyo inafanyika katika Ukumbi wa New Sun City Hotel Jijini Mwanza.
Na BMG
Maharusi wakiingia Kanisani kwa ajili ya Kufunga ndoa leo mchana
Maharusi wakiingia Kanisani kwa ajili ya Kufunga ndoa leo mchana
Maharusi wakisalimia wakiwa na wapambe wao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 119857

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>