YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO July 2, 2016.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
View ArticleMFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, (WCF), WAALIKA WADAU KUJUA UTARATIBU WA FIDIA...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, ajira, vijana na wenye ulemavu), Jenista Mhagama, (kulia), akizungumza jambo wakati alipotembelea banda la Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi,...
View ArticleRais Kagame alipokabidhi tuzo kwa washindi wa maonesho ya 40 ya biashara ya...
RAIS wa Jamhuri ya Rwanda Mhe. Paul Kagame akiwa tayari kukabidhi tuzo kwa Wizara, taasisi za Serikali, kampuni, nchi washiriki pamoja na mashirika yaliyoshinda katika maonesho ya 40 ya biashara ya...
View ArticleWAZIRI WA KAZI ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA 2016
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama (kulia) akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara...
View ArticleBANDA LA BENKI YA CRDB LAVUTIA WENGI MAONESHO YA SABASABA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (wa pili kushoto), akishiriki kutoa huduma kwa wateja waliofika katika banda la benki hiyo lililopo kwenye Maonyesho ya Biashara ya 40 ya...
View ArticleJumuiya Shia Wamkabidhi Madawati Rais Dk.Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Jumuiya ya Khoja Shia Ithna-asheir Mhe,Mohamed Raza Daramsi wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar...
View ArticleMA-DC WAPYA MKOANI TANGA WAAPISHWA, WATAKIWA KUSIMAMIA SHUGHULI ZA MAENDELEO...
Mkuu wa wilaya ya Pangani, Mhe. Zainabu Abdallah Issa akila kiapo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga leo. Mkuu wa wilaya Mpya wa Handeni Mkoani Tanga, Mhe. Godwin Gondwe akila kiapo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga,...
View ArticleDEBORAH SOTEL: MTANGAZAJI MAHIRI WA VIPINDI VYA TAARABU JIJINI MWANZA.
Anaitwa Devota Sotel kutoka 91.0 Passion Fm Mwanza. Kwa muda mrefu amekuwa king'ang'anizi katika umahiri miongoni mwa watangazaji bora wa vipindi vya taarabu Jijini Mwanza na hata Kanda ya Ziwa.Mambo...
View ArticleMA- DC WATANO WAPYA WA MKOA WA LINDI WALA KIAPO
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mh Godfrey Zambi katika picha ya pamoja na Wakuu wa Wilaya wa wilaya tano za mkoa huo pamoja na watendaji wa ofisi yake baada ya kiapo Mmoja wa Wakuu wa wilaya akila kiapoNa...
View ArticleMizani ya Wiki hii leo saa mbili na nusu usiku kupitia Azam TWO
Usikose kuangalia kipindi cha Mizani ya Wiki hii leo saa mbili na nusu usiku kupitia Azam 2 ambapo baadhi ya wabunge na wanaharakati wajitokeza kupongeza kikao cha bunge kilichomaliza hivi karibuni na...
View ArticleRAV 4 zagongana asubuhi hii jijini Dar es salaam
Asubuhi hii Magari mawili yote ya aina ya Toyota Rav4 yamegongana katika makutano ya barabara ya Samora na Pamba karibu na Benki ya NMB Bank House na Shirika la Bima la Taifa (NIC) Jijini Dar es...
View Articleusafi wa barabara jijini Dar es salaam
Gari la kufagia barabara la Kampuni ya Green Waste Pro. Ltd likisafisha barabara ya mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam katika juhudi za kuliweka jiji safi kwa njia ya kisasa. Picha na Benedict Liwenga...
View ArticleREST IN PEACE HON. BEATRICE SHELLUKINDO
By Saidi Yakubu,Bunge StaffMy heart goes out to Beatrice Shellukindo and my thoughts are with her children whom she loved and cared deeply.Beatrice was a charming woman and courageos leader.In my many...
View Article