Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 119857

RAV 4 zagongana asubuhi hii jijini Dar es salaam

$
0
0
 Asubuhi hii Magari mawili yote ya aina ya Toyota Rav4 yamegongana katika makutano ya barabara ya Samora na Pamba karibu na Benki ya NMB Bank House na Shirika la Bima la Taifa (NIC)  Jijini Dar es Salaam.
 Wapita njia wakiangalia ajali hiyo ambayo hakuna aliyeumia zaidi ya magari
Wana usalama barabarani wamefika eneo la tukio mara moja.
PICHA NA BENEDICT LIWENGA-WHUSM

Viewing all articles
Browse latest Browse all 119857

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>