Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswira mseto kutoka jijini Mwanza leo

 Mdau akila kichwa mbele ya Sanamu ya Samaki iliopo kwenye kipita shoto cha Barabara ya Nyerere,jijini Mwanza mapema leo.Watu wengi kutoka maeneo mbali mbali,hupenda kufika katika eneo hili na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Building business beyond tomorrow

5th Economic women conference and business expo brought by Dare to Dream Foundation with Vodacom. Dare to Dream Foundation will be hosting another women’s business conference and exhibition on the 11th...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

taswira mseto kutoka zanzibar leo

Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Zanzibar, Mhe Haroun Ali Suleiman,akimkabidhi fedha taslima zaidi ya  shilingi Milioni tatu, mmoja wa viongozi wa shehia ya Mzuri kwa ajili ya mashindano ya kumuenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA MHE. BEGUM KARIM TAJI JIJINI LYON, UFARANSA

TAREHE 23 - 24 APRILI 2013 Tarehe 23 - 24/04/2013, Mhe. Begum K. Taji, Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa alifanya ziara ya kikazi Lyon, mji wa pili kwa utajiri baada ya Paris. Akiwa Lyon, Balozi Taji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kesho ni sherehe za miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Na. ELIPHACE MARWA na FRANK SHIJA - MAELEZOMwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar kaushiria Muungano uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania miaka 49...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA ATIWA MBARONI KWA KUCHAFUA MAZINGIRA IRINGA

Kijana  Masha  Yusuph mkazi wa  Iringa akiwa  ofisi ya mwanasheria  wa Halmashauri ya  manispaa ya  Iringa Bw Innocent Kihaga  (kulia) baada ya  kukamatwa  na mgambo  wa Manispaa hiyo akichafua ukuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

117 USD MILIONI ZATENGWA KWA AJILI YA BAJETI YA JUMUIYA YA AFRIKA YA MASHARIKI

Mahmoud Ahmad, ArushaJumla ya  dola za Kimarekani million 177,238,966 zimetengwa kwenye bajeti ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwa mwaka wa fedha 2013-14 na kuidhinishwa na Baraza la Mawaziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marketer's Night Out yafana usiku huu ndani ya Golden Tulip jijini dar.

Ulifika wakati wa wageni waalikwa mbalimbali kuserebuka na muziki mzuri uliokuwa ukiporomoshwa na bendi ya B Band,kwenye hafla ya "Marketer's Night Out ",ambapo msemaji mkuu alikuwa ni Dkt.Wale...

View Article


ngoma azipendazo ankal

Sipho "Hotstix" Mabuse anaungana nasi kusherehekea Mungano kwa ngoma ya 'Zanzibar'

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IN LOVING MEMORY

Dear Dad - Adolf IsariaMkonyRemembering You on your Birthday.Born 26/4/1948 passed on 26/12/2002We know that today was his Special day!a celebration of his birthday,It's always hard to face this daynow...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA MTENDAJI MKUU WA PEPSI ATEMBELEA TANZANIA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya vinywaji baridi ya PEPSI kwa Bara la Asia, Mashariki ya Kati na Afrika, Bw. Saad Abdul Latif, hivi karibuni alifanya ziara nchini Tanzania ikiwa ni sehemu ya ziara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngoma Africa Band inawatakia heri ya miaka 49 ya MUUNGANO

Bendi ya muziki wa dansi "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU UGHAIBUNI  yenye maskani nchini  Ujerumani inawatakia kila la heri na fanaka ya MIAKA 49 YA MUUNGANO wa jamuhuri ya TANZANIA, watanzania wote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII: TASWIRA ZA URIDHIAJI WA MUUNGANO WA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA MIAKA 3 YA VIJIMAMBO NA TAMASHA LA UTAMADUNI WA KISWAHILI MAREKANI

Blog ya Vijimambo ikishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini, Washington, DC, Marekani na Jumuiya ya Watanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia wanapanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA SANA UWANJA...

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam leo kuongoza Watanzania kusherehekea miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamhuri ya Muungano ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONESHO YA NDEGE ZA KIJESHI KWENYE SHEREHE ZA MUUNGANO LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALAMU KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA MUUNGANO WA TANZANIA KUTOKA CCM UK .

NduguWaTanzania,Kwa Niaba ya TAWI la Chama Cha Mapinduzi Uingereza ,na kwa niaba yangu binafsi, Napenda kutoa salamu za dhati kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


GWARIDE LA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UWANJA WA UHURU...

View Article

HALAIKI YA SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

uwekaji saini mkataba wa ujenzi wa kivuko cha Dar- bagamoyo

 Picha ya mchoro ya kivuko cha  Dar es Salaam – Bagamoyo kitakavyokuwa. Mtendaji Mkuu wa TEMESA Mhandisi Marceline Magesa (mwanamke) , na mwakilishi wa kampuni ya  JOHS GRAM HANSSEN A/S ya  Denmark...

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>