Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bei za Mafuta zashuka tena

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei kikomo cha bidhaa za mafuta kinachoonyesha kuwa petroli, dizeli na mafuta ya taa zimeshuka kuanzia leo. Taarifa iliyotolewa jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

salamu za mwaka mpya toka kwa babu kaju

Heri ya mwaka mpya 2013 watanzania wenzangu ,tunauanza mwa huu mpya kwa msimamo mmoja  wa kukuza maendeleo ya michezo na sanaa nchini kwetu  Tanzania, Watanzania tuna uwezo mwingi wa kufanya mambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

THOMAS MASHALI KUFANYA PAMBANO WA KUFUNGUA MWAKA 2013

Bondi wa ngumi za kulipwa nchini Thomas Mashali anatarajiwa kupanda ulingoni Januari 12 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Jijini Dar es Salaam kutetea Ubingwa wa Afika  Mashariki.Akiongea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Customers applaud Stanbic win

Stanbic Bank Head of Finance, Lydia Kokugonza (left) receives the Best Presented Financial Statement award for the year 2011 from Pan African Federation of Accountants Chief Executive officer Vickson...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROMA MKATOLIKI AWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI KATIKA TAMASHA LA VODACOM-COCO BEACH

Msanii mahiri wa Muziki wa kizazi kipya" Roma Mkatoliki"akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam,waliofika kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi coco beach,katika Tamasha la kuukaribisha mwaka mpya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA KITABU CHENYE HISTORIA YA KABILA LA WAPIMBWE

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akionyesha kitabu chenye historia ya kabila la Wapimbwe linalotoka Mkoa wa Katavi (kushoto kwa Waziri Mkuu) ni mmoja wa watunzi wa kitabu hicho,Bwana Peter Mgawe mhadhiri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YALIVYOKUWA SIKU YA MWAKA MPYA DAR LIVE

 USIKU wa kuadhimisha kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2013 ulishuhudia burudani ya kukata na shoka katika Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live ulioko Mbagala, ambapo wasanii kadhaa wa muziki wa kizazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

salamu za rambirambi kufuatia kifo cha msanii Juma Kilowoko Maarufu kama SAJUKI

Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara amewatumia salamu za rambirambi, ndugu, jamaa na wasanii wote nchini kufuatia kifo cha msanii Juma Kilowoko (SAJUKI)kilichotokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

maendeleo ya msiba wa Sajuki nyumbani kwao tabata bima leo

Baadhi ya Wasanii wa Filamu nchini wakiwa kwenye msiba wa Msanii mwenzano,Marehemu Sadick Juma Kilowoko ama Sajuki aliefariki Dunia mapema leo asubuhi,kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

taka hizi zimeshindikana kuondolewa??

Leo katika pita pita za kamera man wa Globu ya Jamii maeneo mbali mbali ya jijini Dar,Leo alipita mitaa ya Tabata na kukutana na lundo la taka kando kando ya Barabara ya Mandela Road.hali hii imekaaje...

View Article

Kisomo cha Kumuombea Marehemu SAJUKI nyumbani kwao Tabata jijini Dar leo

BOFYA HAPA KUONA PICHA MBALI MBALI ZA MSIBANI HAPO

View Article

Rais Atuma Salam za Rambi Rambi kufuatia Kifo cha Sajuki

View Article

SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATCL resumes Kigoma flights

AIR Tanzania Company Limited (ACTL) Acting Chief Executive Officer, Captain Milton Lazaro, speaks to journalists (not in picture) about the airline’s plans to resume Dar es Salaam- Kigoma daily flights...

View Article

Salaam za mwaka mpya za Rais Jakaya Kikwete kwa wananchi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari ya Mwisho ya Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) kutokea Nyumbani...

 Waombolezaji wa Msiba wa Msanii wa Filamu hapa nchini,Marehemu  Sadick Juma Kilowoko wakibeba jeneza lenye mwili wake tayari kwa taratibu za kwenda Mazikoni,wakitokea Nyumbani kwa Marehemu Tabata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza Mazishi wa Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI)...

 Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) likiwasili kwenye Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam mchana huu tayari kwa Mazishi yaliyoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 49 YA MAPINDUZI ZANZIBAR

Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar wakifanya usafi katika maeneo ya Ofisi yao Rahaleo mjini Zanzibar ikiwa ni shamra shamra za kuazimisha miaka 49 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo kilele cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KUAHIRISHA SAFARI ZA TRENI ZA ABIRIA KWENDA BARA

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unawataarifu abiria wote na wananchi kwa jumla kuwa kutokana na kuharibika njia ya reli eneo la Stesheni ya Mikese jana usiku, safari ya treni ya abiria ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS KUJIPIMA KWA ETHIOPIA JANUARI 11

Timu ya Taifa (Taifa Stars) itacheza mechi ya kujipima nguvu dhidi ya Ethiopia. Mechi hiyo itachezwa Januari 11 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Addis Ababa, Ethiopia.Stars chini ya Kocha Mkuu...

View Article
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>