Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118030

MAMBO YALIVYOKUWA SIKU YA MWAKA MPYA DAR LIVE

USIKU wa kuadhimisha kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2013 ulishuhudia burudani ya kukata na shoka katika Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live ulioko Mbagala, ambapo wasanii kadhaa wa muziki wa kizazi kipya walitoa burudani ya kufa mtu. Wasanii ambao waliwafanya mashabiki wasitulie katika viti vyao ni wakongwe Profesa J, Inspekta, Juma Nature, pamoja na wasanii wanaokuja juu katika fani hiyo ambao ni Linex na Stamina, huku bendi ya African Star ‘Twanga Pepeta’ wakiwapindisha migongo mashabiki.Pichani ni Juma Nature akiwapagawisha mashabiki.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mkongwe Profesa J akiwapelekesha puta mashabiki.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Linex akiwapagawisha mashabiki.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 118030

Trending Articles