Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia) akipokea Taarifa ya Kamati inayoshughulikia Mgogoro wa Loliondo Kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati amabye ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo, Wanao shuhudia Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Uhifadhi Tanzania Martine Loiboki, Mkuu wa Wilaya ya Loliondo Rashid Taka, Mkurugenzi Mkuu Tanapa Allan Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Wanyama Pori Prof Alexander Songorwa, Mkurugenzi Mkuu wa Thomson Safari s John Bearcroft , Naibu Waziri wa Kilimo na Mifugo Milian Ole Nasha (MB) ,Mwenyekiti wa CCM Arusha Lekule Laiser , Mkurugenzi wa Baraza la Wafugaji Wanawake Bibi Maanda Ngoitika , Kikao hicho cha Kukabidhi Tarifa kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma leo tarehe 2 Februari 2017.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akionyesha Kitabu cha Taarifa ya Kamati inayoshughulikia Mgogoro wa Loliondo Kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati amabye ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo, Wanao shuhudia Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Uhifadhi Tanzania Martine Loiboki, Mkuu wa Wilaya ya Loliondo Rashid Taka, Mkurugenzi Mkuu Tanapa Allan Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Wanyama Pori Prof Alexander Songorwa, Mkurugenzi Mkuu wa Thomson Safari s John Bearcroft , Naibu Waziri wa Kilimo na Mifugo Milian Ole Nasha (MB), Mwenyekiti wa CCM Arusha Lekule Laiser , Mkurugenzi wa Baraza la Wafugaji Wanawake Bibi Maanda Ngoitika, Kikao hicho cha Kukabidhi Tarifa kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma leo tarehe 2 Februari 2017
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisikiliza Tarifa ya Mgogoro wa Loliondo kutoka kwa Mwenyekiti wa kamati na Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Bwana Mrisho Gambo.
(Picha na PMO)