Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117468

RAY KUZINDUA FILAMU YAKE MPYA 'GATE KEEPER' KESHO QUALITY CENTER JIJINI DAR

$
0
0
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii

Msanii wa Bongo Movie , Vicent Kigosi 'Ray' kesho anatarajia kuzindua filamu yake mpya,itakayojulikana kwa jina la Gate Keeper katika ukumbi wa Sinema wa Quality Centre.

Ray ambaye hajatoa filamu kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja,amesema kuwa filamu hiyo ni moja ya akzi zenye ubora wa hali ya juu katika soko la filamu ambazo azijawahi kutokea tangu aanze kazi hiyo.

ametaja kuwa watu ambao ameshirikiana nao katika filamu hiyo ni Kajala Masanja, Single Mtambalike na Nicole Franklin .

Amesema kuwa filamu hiyo imeandaliwa na Rj Production na kusimamiwa na kampuni ya Steps Entertiment,aidha ametaja kuwa kingilio katika uzinduzi huo ni shilingi 10000 kwakila mtu atakaye fika katika ukumbi huo wa Suncrest Cineplex Cinema.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117468

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>