Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

RATIBA ZA KAMATI ZA BUNGE JANUARI, 2013

$
0
0
Ofisi ya Bunge inapenda kuwataarifu Wanahabari wote kuwa Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza kukutana hapa jijini Dar es Salaam siku ya Jumatatu 14 Januari 2013, kabla ya Mkutano wa 10 wa Bunge unaotarajiwa kuanza Mjini Dodoma siku ya Jumanne Januari 29, 2013. 

Kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge, Kamati hizi hukutana angalau majuma mawili kabla ya Vikao vya Bunge, ili kupitia Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Shughuli za Serikali na Taasisi na Idara zake, ikiwa ni pamoja na kupitia miswada inayotarajiwa kuletwa Bungeni. 

Aidha baadhi ya Kamati zitajihusisha na kufanya Ziara za Ukaguzi katika Sehemu mbalimbali nchini kwa mujibu wa Kanuni ya 114 (1- 5) kama Ratiba inavyojionesha katika kiambatanisho BOFYA HAPA


Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>