Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Serikali kuendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji nchini

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Uwezeshaji na Uwekezaji Dkt Mary Nagu (wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha utambuzi cha kiwanda cha simenti cha Tanzania (TPCC) kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Prof. Harald Braun (kulia) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine katika picha ni Waziri wa Uchumi wa Ujerumani, Ms. Anne Ruth (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa TPCC, Bw. Pascal Lessoine (wa tatu kulia) na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw. Raymond Mbilinyi (kushoto).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>