Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

TPSF yahamasisha umoja sekta binafsi

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bw. Geofey Simbeye akisisitiza jambo kwa wanachama wa taasisi hiyo wa kanda ya ziwa katika mkutano maalumu wa uelimishaji na uhamasishaji wa muundo wa uwakilishi katika kongano ( clusters). Kulia ni Mkurugenzi wa Bodi ya TPSF Bw. Gideon Kaunda. Mkutano huo ulifanyika mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Bw. Geofey Simbeye akizungumza na wanachama wa taasisi hiyo kutoka kanda ya ziwa katika mkutano maalumu wa uelimishaji na uhamasishaji wa muundo wa uwakilishi katika kongano( clusters) mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>