UFAFANUZI WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYAMA VYA KIJAMII NCHINI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIWizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi linaloendelea kuhusiana na Vyama vya Kijamii vilivyosajiliwa chini...
View ArticleMUNGU TUNUSURU YARABI TOBA....AJALI INGINE SHINYANGA, 10 WAPOTEZA MAISHA 40...
Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori kugongana uso kwa uso mkoani Shinyanga leo. Zoezi...
View ArticleBILIONEA DANGOTE AKAGUA UFUKWE ATAKAOJENGA BANDARI YAKE YA KISASA MTWARA
Mfanyabiashara maarufu Afrika, ambaye ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko Dabgote akinyoosha mkono kuangalia eneo la ufukwe wa Bahari ya Hindi...
View Articlesix-day Art Exhibition at the University of Dar es salaam: A STEP FORWARD IN...
The six-days Art Exhibition opened officially at the University of Dar es Salaam was described as “professional advancement” with an important role in the field of art. The Vice Chancellor of the...
View ArticleBenki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro
Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi kasha la gurudumu kwa Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye ambaye alikua mgeni rasmi katika mbio za...
View ArticleDAUDI MRINDOKO ASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI...
Yafuatayo ndio maelezo yake haya:"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai..."Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa, Baba zangu na mama zangu...
View ArticleBASATA wampongeza Mayunga kwa kuwakilisha vyema Tanzania
Mkurugenzi Ukuzaji Sanaa na Masoko Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Vivian Msao Shalua (Katikati) akiongea katika halfa ya kumpongeza mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Airtel Trace Music...
View ArticleBAN KI MOON AWAGEUKIA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI DUNIANI
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa na Viongozi wa Madhehebu mbalimbali ya Dini mara baada ya viongozi hao wa dini kuzungumza katika mkutano wa ngazi ya juu uliojadili pamoja na...
View ArticleSimbachawene atembelea Banda la Tanzanite One katika maonesho ya nne ya...
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (kulia) akipata maelezo kwa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite One, Faisal Juma Shabhai na Hussein Gonga, kuhusiana na uchimbaji wa madini ya...
View ArticleBALOZI DORA MSECHU AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA SWEDEN
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Dora Msechu (kushoto) amekutana na wafanyabiashara wa Sweden kwenye mkutano ulioandaliwa na Baraza la Biashara la Sweden na Afrika Mashariki(Swedish East Africa...
View ArticleKATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AENDELEA KUVURUGA MIPANGO YA WAPINZANI KATIKA...
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa, HASSAN MTENGA akijibu maswali ya wananchi wa tarafa ya pawaga.Na Fredy Mgunda,Iringa Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa, Hassani Mtenga amewataka wananchi wa...
View ArticleLAPF YATOA MSAADA KUCHANGIA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE-WILAYA YA ULANGA...
Meneja wa Kanda ya Mashariki ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Yesaya Mwakifulefule akikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi kwa Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mashahriki Bi. Christina Mndeme kwa ajili ya...
View ArticleWaziri Chiza kuhudhuria kongamano Kubwa la Biashara Visiwa vya Comoro
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi Christopher Chiza (Mb) ahudhuria Kongamano Kubwa la Biashara kati ya Comoro na Tanzania, litakalofanyika tarehe 23 Aprili,...
View ArticleUTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA...
Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia.===== ====UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA (COSTECH)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho...
View ArticleUKARABATI
Mafundi wakiendelea na kazi yao ya kuweka karavati katika Makutano ya Mtaa wa Chimala na Albert Luthuli, mbele ya Ocean Road Hospital, jijini Dar es salaam.
View ArticleWakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
Na Veronica Mheta, Arusha WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi. Aidha...
View ArticleRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO...
Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa...
View Article