EQUITY BANK YAJA NA MUONEKANO MPYA
Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Equity, Dk. James Mwangi, akiwaonesha Logo mpya ya Benki ya Equity, Mwenyekiti wa Bodi wa Benki hiyo Uganda, Apollo Makubuya (katikati) na Mkurugenzi...
View ArticleWasichana Tabora Kuwania Uongozi
Na, Editha Edward-Tabora Baadhi ya Wasichana Mkoani Tabora wamesema hawata kuwa nyuma kuwania nafasi za uongozi katika chaguzi za Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu ujao wakiamini Kuwa kupata uongozi...
View ArticleMABULA AVUTIWA KASI YA UJENZI MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI
Mhandisi kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Elisante Ulomi akimuonesha maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Machinjio ya Vingunguti Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline...
View ArticleWATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUTENDA HAKI WAKATI WA UJAZAJI WA FOMU ZA OPRAS...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Watumishi wa Umma wa Mkoa wa Simiyu (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi...
View ArticleWAZIRI MKUU AKAGUA SHAMBA LA KOROSHO MANYONI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua shamba la mfano la korosho lenye ukubwa ekari 12,000 lililopo kijiji cha Misigati, wilayani Manyoni na kusema kuwa ameridhishwa na uamuzi wa wilaya hiyo kuwa na zao...
View ArticleWANANCHI HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUNUFAIKA NA ZAHANATI ILIYOJENGWA NA TASAF
Mwenge wa Uhuru ukiwa mbele ya Zahanati ya Tupendane iliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mara baada ya ujumbe wa Mwenge huo kuitembelea Halmashauri ya Mji Newala ili kukagua na...
View ArticleWANAFUNZI WAELEZA UELEWA MDOGO WA JAMII AFYA YA UZAZI IMEKUWA NI CHANZO CHA...
Na Jusline Marco-ArushaVijana wa shule ya sekondari Musa, halmashauri ya Arusha, wameweka wazi kuwa, uelewa mdogo wa jamii kuhusu afya ya uzazi, imekuwa ni chanzo cha ndoa nyingi za...
View ArticleMEYA MSTAAFU KINONDONI YUSUFU MWENDA AWAOMBA WADAU KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU...
Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni akimlisha keki mmoja wa watoto wa darasa la awali katika Shule ya Mikocheni A ikiwa ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwake.Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni...
View ArticleMAKAMU WA RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MENEJMENTI YA OFISI YAKE JIJINI...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Menejmenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira katika kikao cha kazi ikiwemo Utekelezaji wa Miradi...
View ArticleWananchi washauriwa kujiepusha na vichocheo vya maradhi ya Moyo
Wananchi wametakiwa kupunguza utumiaji wa vileo, uvutaji wa sigara pamoja na vyakula vyenye mafuta mengi ikiwemo chapati, mandazi na vitumbua kwani vinavyochochea ongezeko la maradhi ya moyo na badala...
View ArticleRAIS MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZAMBIA EDGAR LUNGU,WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Rais wa Zambia Mheshimiwa Edgar Chagwa Lungu mara baada ya kufungua Kituo cha pamoja cha Huduma za...
View ArticleMAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YAMEPUNGUA TANDAHIMBA-DC WARYUBA
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema maambukizi ya virusi vya ukimwi yamepungua kwenye Wilaya ya Tandahimba na amewataka wananchi kujiepusha na maambukizi mapyaAmeyasema hayo leo...
View ArticleWAZIRI MKUU AAGIZA DED MKALAMA ACHUNGUZWE
*Agoma kuweka jiwe la msingi la hospitali ya wilaya hiyoWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Bw. Adili Elinipenda amchunguze Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkalama,...
View ArticleDAWASA YAWEKA MALENGO YA KUKUSANYA BILIONI 12 KWA MWEZI
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) imejiwekea malengo ya kufikia Kiasi cha Shilling Bilioni 12 kwa mwezi katika makusanyo ya ankara za maji kwa...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA WAZINDUA KITUO CHA MPAKANI CHA...
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais Edgar Lungu wa Zambia wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Mpakani cha Tunduma-Nakonde One-Stop Border Post upande wa Tanzania Leo Jumamosi Oktoba 5,...
View ArticleHospitali kuwajengea vyoo shule ya msingi Mloganzila
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi (aliyesimama) akizungumza katika mahafali ya 14 ya darasa la saba ya Shule ya Msingi Mloganzila yaliyofanyika hii leo. Mwalimu...
View ArticleMahafali ya 41 ya NBAA yafana, Naibu Waziri Dkt. Kijaji atoa neno kwa wahitimu
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa mradi wa kituo cha uhasibu kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam ulibuniwa kwa weledi mkubwa katika kuongeza wigo na fursa za mapato ya...
View ArticleWATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUTENDA HAKI WAKATI WA UJAZAJI WA FOMU ZA OPRAS...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Watumishi wa Umma wa Mkoa wa Simiyu (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi...
View ArticleTMDA ITAHAKIKISHA DAWA NA VIFAA TIBA VINAVYOPITA MPAKANI NI SALAMA NA VYENYE...
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Mh.Ummy Mwalimu ameeleza jana mbele ya Rais Dkt John Pombe Magufuli na Wananchi kwa ujumla kuwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)...
View Article