Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 119842

MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YAMEPUNGUA TANDAHIMBA-DC WARYUBA

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema maambukizi ya virusi vya ukimwi yamepungua kwenye Wilaya ya Tandahimba na amewataka wananchi kujiepusha na maambukizi mapya

Ameyasema hayo leo asubuhi wakati akitoa taarifa kwa kiongozi wa mbio za mwenge wa  Uhuru Mzee Mkongea Ally  katika Kijiji cha Nanyhanga 

Mwenge  wa Uhuru umepitia miradi ya maendeleo  yenye thamani ya zaidi ya Bil 1.7 Wilayani humo na yote imeridhiwa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 119842

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>