Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 118428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAIDS yaangalia namna ya kusaidia kituo cha Matumaini

Mkurugenzi wa Kijiji cha Matumaini, SR Maria Rosaria akitoa maelezo kwa Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng ya dawa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE , ESTER MATIKO 'MAMBO MAGUMU' , WARUDISHWA TENA MAHABUSU

Kuna kila dalili Sikukuu ya Krismass, Mwaka mpya wakasheherekea wakiwa ndani.Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiKESI ya tuhuma za uchochezi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, Mbunge wa Tarime...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muslim: Madereva fuateni sheria za Usalama Barabarani

Na Chalila Chibuda, Blogu ya JamiiKamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Fortunatus Muslim amewataka madereva wa kufuata sheria za Usalama ili kuokoa maisha ya wasafiri. Muslim aliyasema hayo wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KORTI YAAHIRISHA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAMKABILI MDOGO WAKE ROSTAM AZIZ

Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeiahirisha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mdogo wa mfanyabiashara maarufu nchini Rostam Aziz, Akram Aziz, kwa sababu upelelezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII NGULI WA FILAMU ZA KIBONGO HASHIM KAMBI AHIMIZA NIDHAMU KWA WASANII WOTE

Na Khadija Seif,Globu ya jamiiMSANII nguli nchini kwenye tasnia ya filamu ya maigizo Hashim Kambi ahimiza nidhamu iwe ni kipaumbele kwa wasanii wenye majina maarufu pamoja na chipukizi katika kukuza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJANE WA DAUD BALALI AINGIA KWENYE MGOGORO WA ARDHI MBWENI MAPUTO

*Wanaoishi maeneo hayo wamuangukia Waziri William Lukuvi, wamuomba aingilie kati *Diwani ajitosa kuzungumzia ukweli eneo hilo...adai wananchi wamevamia, waondokeNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiWANANCHI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANYAMBA SASA KUPATIWA MENEJA WAKE WA TANESCO

Na Veronica Simba – MtwaraWaziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ameuagiza uongozi wa juu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuteua na kupeleka Meneja atakayesimamia Halmashauri ya Nanyamba wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGOMA YAFUNIKA KAMPENI YA MNADA KWA MNADA KARIBU TUKUHUDUMIE YA MAMLAKA YA...

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA leo imeendelea na kampeni yake ya Mnada kwa Mnada karibu tukuhudumie mkoani Kigoma ambayo elimu ya watumiaji huduma pamoja na huduma ya utatuzi wa matatizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KILIMO AAGIZA VYUO VIKUU KUTANGAZA MATOKEO YA TAFITI ZAO

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-KilimanjaroImebainika kuwa tafiti na machapisho mengi yanayofanywa na wanataaluma na wanafunzi katika Vyuo mbalimbali si tu zinasaidia kujenga taswira za vyuo bali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUCTA YAKIRI KUSHIRIKISHWA MCHAKATO WA UTUNGWAJI WA KANUNI ZA MALIPO YA WASTAAFU

Rais wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya amekiri shirikisho hilo kuwa na majadiliano mbalimbali katika ngazi ya Utatu na Upili yaani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AFUNGUA KIWANJA CHA TAIFA CHA MCHEZO WA BASEBALL

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua kiwanja kipya cha Taifa cha mchezo wa Baseball na kuzindua mashindano ya Taifa ya Baseball nchini. Amewaagiza viongozi wa Wizara ya Habari, Sanaa, Michezo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA...

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana  na Mwakilishi wa Kampuni ya KOLON Nchini Tanzania Ndg.Teger  Lee, kushoto kwa Rais Balozi wa Jamuhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Filamu ya Uwoya, Red Light kuonyeshwa kesho Ijumaa

Baada ya uzinduzi wa Msimu wa Siku kuu na promosheni kutoka kwa Kampuni ya Star Media (T) Ltd, ambapo walitangaza rasmi nia yao ya kuisadia Bongo Movie kwa kununua filamu kadhaa na kuzionyesha kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA STULI NA MEZA ZA MAABARA SHULE YA SEKONDARI...

Benki ya NMB imetoa msaada wa Stuli 32 na meza 8 za maabara zenye thamani ya Shilingi milioni tano ili kusaidia wanafunzi kujifunza kwa vitendo masomo ya sayansi katika shule ya Sekondari Mwantini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA UBA YABORESHA HUDUMA ZA KIMTANDAO KWA KUZINDUA MAGIC BANKING

Ikiwa ni jitahada za kuendelea kuwa benki bora Barani Afrika kwa huduma za simu za mkononi na kuendelea kuendana na jinsi mtandao unapokuwa haraka na kuwa na bidhaa na huduma zilizo bora kabisa, benki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARMONIZE ATOA PARANAWE YA KUFUNGIA MWAKA WA 2018

Na Baba FaisalMWENAMUZIKI maarufu kwenye muziki wa kizazi kipya ambaye anafanya kazi zake chini ya Lebo ya WCB Rajab Abdul Kahali a.k.a Harmonize ameamua kuachia wimbo wake mpya wa Paranawe ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI WILAYA YA KALIUA, WADAU WA MAENDELEO WAJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO...

Na Editha Shija, TaboraHALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wilayani humo wamejipanga kumaliza kero ya maji kwa wananchi ambayo imekuwa ya muda mrefu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO KAZI CHA KUPITIA RASIMU YA TAARIFA YA NCHI CHINI YA MKATABA WA UMOJA WA...

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju (aliyesimama) akifungua kikao kazi cha kupitia rasimu ya taarifa ya nchi chini ya mkataba wa umoja wa mataifa wa haki za watu wenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA MAGEREZA LAFANYA MAADALIZI YA UZINDUZI WA DAWATI LA JINSIA LEO...

 Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike akitoa hotuba  katika ufunguzi wa mafunzo ya siku moja  kuhusu mambo ya Dawati la Jinsia kwa Waratibu na Watendaji  wa Dawati hilo kutoka  Magereza yote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. MABODI AFANYA ZIARA MANISPAA YA MJINI ZANZIBAR

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Zanzibar Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi, amesema CCM imendelea kusimamia kwa ufanisi sera za maendeleo kwa jamii bila kujali...

View Article
Browsing all 118428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>