Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 118503 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UONGOZI WA JESHI LA MAGEREZA WAKUTANA NA BALOZI MSTAAFU LT. GEN.MSTAAFU...

 Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike akimkaribisha  aliyekuwa Balozi Tanzania nchini Zimbabwe Lt. Gen.Mstaafu Charles Makakala mara alipowasili  Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Kinara wa Kuvutia Wawekezaji Afrika Mashariki

Na. Paschal Dotto-MAELEZOTanzania imeendela kuweka rekodi ya kuvutia wawekezaji kwa nchi zilizopo ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na mtaji wa uwekezaji wa Dola Bilioni 1.18, ikifuatiwa na Uganda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EACH ONE TEACH ONE INITIATIVE 23RD NOVEMBER 2018

Each One Teach One is an initiative started by the UBA Foundation with the purpose of All UBA staff to get an opportunity to give back to the community in their own way. The initiative aims at helping...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

maonesho ya tatu ya bidhaa za viwanda vya Tanzania kufunguliwa kesho jijini Dar

Waziri wa Viwanda ,Biashara na Uwekezaji,Joseph Kakunda (watatu kushoto) akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara,Novatus Rutageruka (katikati)Mwakilishi Mkaazi wa UNIDO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPANDE WA MASHTAKA UMETAKIWA KUTOA MAJIBU YANAYOELEWEKA KESI YA UHUJUMU...

Na Karama Kenyunko,Globu ya jamiiUPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Yusuf Ali maarufu kwa jina la ‘Mpemba wa Magufuli', umetakiwa Desemba 18 mwaka huu kutoa majibu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC WILAYANI NZEGA AWAAGIZA MAOFISA KILIMO KWENDA VIJIJINI KUTOA ELIMU KWA...

Na Editha Shija -TaboraMKUU wa Wilaya ya Nzega mkoani Tabora Godfrey Ngupula amewaagiza wataalamu wa kilimo wote waliopo katika wilaya hiyo kwenda vijijini kwa ajili ya kuwapa wakulima elimu ya kilimo...

View Article

WANATAALUMA YA UNUNUZI NA UGAVI WAPEWA SOMO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA HALMASHAURI WILAYA YA NZEGA ATOA ONYO KWA WATENDAJI WANAOTAFUNA...

Na Editha Shija, TaboraMWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora Kiwele Michael Bundala ametoa onyoa kali kwa watendaji wa Vijiji na Kata watakaobainika kutafuna fedha za mapato...

View Article


MICHUZI TV: WAZIRI MKUU ATOA TUZO KWA WANAFUNZI WALIOSHIRIKI SHINDANO LA HUAWEI

View Article


MICHUZI TV: SSRA YAMJIBU MBUNGE ESTER BULAYA

View Article

MICHUZI TV :KIWANJA KINACHODAIWA CHA DAUD BALALI CHAZUA UTATA, MBWENI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AWESO ATUMBUA JUMUIYA YA WATUMIA MAJI

Naibu Waziri wa Maji ameendelea na ziara yake ya kikazi MkoaniLindi kwa kutembelea miradi ya maji ya Likwaya, Rutamba na Namangaleiliopo Halmashauri ya Lindi vijijini.Pia aliongea na wananchi na...

View Article

Kamishna wa Maadili Jaji Nsekela Atembelea Klabu za Maadili Shule za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WATAKIWA KUTEKELEZA KANUNI MPYA ZA NGOs KUDUMISHA MISINGI YA UWAZI NA...

Wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya Kiserikali (NGOs) wametakiwa kutekeleza Kanuni Mpya za Sheria namba 24 ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya Mwaka 2002 ikiwa ni lengo la kuwa na uelewa wa...

View Article

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA UNUNUZI NA UGAVI WATAKIWA KUTHAMINI MIRADI INAYOFANYWA NA SERIKALINI

Na. Edward Kondela Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel amewataka Maafisa Ununuzi na Ugavi nchini kutambua na kuthamini miradi mbalimbali inayofanywa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MSHAMA AKABIDHI SHAMBA PORI MIKONONI MWA WANANCHI WAKATI AKISUBIRI...

NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA MKUU wa wilaya ya Kibaha, Assumpter Mshama amesema ataandika ombi la kufuta hati ya shamba la mmiliki Siemens, lililopo kata ya Pangani, kutokana na kuwa pori na kugeuzwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAANZA KUSIKILIZA KESI KWA MTANDAO

Na Magreth Kinabo-Mahakama ya Tanzania Mahakama ya Tanzania kwa mara ya kwanza imeanza kuendesha kesi kwa kutumia mfumo wa Mawasiliano kwa njia ya picha za video yaani ‘Video Conferencing’ kwa kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU AMPA MKANDARASI SIKU 30 KUKAMILISHA JENGO LA...

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe .Constantine Kanyasu ametoa siku 30 kwa mkandarasi wa SUMA JKT, aliyepewa kazi ya kujenga jengo la ofisi ya wizara hiyo katika mji wa serikali eneo la Ihumwa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI LUGOLA ATOA AGIZO KWA WANANCHI AMBAO HAWAJAPATA KITAMBULISHO CHA TAIFA...

Na Felix Mwagara, (MOHA), MARA. WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewataka Watanzania ambao hawajajiandikisha waende kujiandikisha ili waweze kupata kitambulisho cha taifa kwakuwa sio...

View Article
Browsing all 118503 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>