Tigo Yazindua Kampeni mpya ya ‘Tigo Pesa ni Zaidi ya Pesa’
Kampuni ya Tigo Tanzania, leo imezindua kampeni ya ‘Tigo Pesa ni Zaidi ya Pesa’, kama uthibitisho kuwa huduma hiyo sasa ina hadhi ya huduma kamili ya kifedha ambayo inawapa wateja huduma za kipekee,...
View ArticleVIJIJI 56 MANONGA KUPATA UMEME MWAKA WA FEDHA 2018/2019
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMBUNGE wa Manonga Seif Gulamali ameeleza mkakati wake katika kusimamia miradi ya maendeleo kwa bajeti ya mwaka 2018/2019 ambapo amesema kuwa huduma kama afya, elimu na...
View ArticleMTENDAJI WA KIJIJI KURUYA APEWA SIKU 19 KUREJESHA FEDHA ALIZOTAFUNA
Na Frankius Cleophace, RoryaSERIKALI imemsimamisha kazi Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Kuruya katika Kata ya Komuge wilayani Rorya mkoani Mara Mwita Mangondi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha...
View ArticleMZEE MANGULA ATEMBELEA BANDA LA NSSF MAONESHO YA SABA SABA JIJINI DAR LEO
Kaimu meneja wa Uhusiano na Masoko,Salim Khalfan akitoa ufafanuzi wa huduma zinazopatikana ndani ya NSSF kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara, Philip Mangula alipotembelea banda...
View ArticleYANGA NA SIMBA UGHAIBUNI YATOA TUZO KUMUENZI ALPHONCE MODEST
Mchezaji Shaban Mwampambe (mwenye kipaza sauti) akiongelea historia ya mchezajiAlphonce Modest ambaye kwa sasa ni mgonjwa siku ya Jumamosi July 7, 2018 siku ilipofanyika Old School Reunion DMV huko...
View ArticleAgro & Poultry Tanzania @ Mlimani Conference Centre in September 2018
The Agro & Poultry Tanzania 2018 targets Agriculture, Irrigation,Poultry, Veterinary, Animal Feed, Vegetables, Fruit , Maize,Wheat, Tractors companies for their participation.Minimum Booth/Stand...
View ArticleWASHINDI WA AMSHA AMSHA USHINDE NA AIRTEL MONEY DROO YA TATU WAPATIKANA
Mkazi wa Morogoro, Frank Kisayo ameshinda zawadi ya televisheni ya kisasa aina ya Samsung yenye ukubwa wa inchi 32 kupitia promosheni ya Amsha Amsha Ushinde na Airtel Money ambayo inaendeshwa kampuni...
View ArticleWananchi Mtego wa Simba wafurahia kuwashiwa umeme
Na Veronica Simba – MorogoroWananchi wa Kijiji cha Mtego wa Simba, Kata ya Mikese, Wilaya ya Morogoro Vijijini, wameshindwa kuzuia furaha yao baada ya Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, kuzindua...
View ArticleMASHAHIDI KATIKA KESI INAYOMKABILI TIDO MHANDO KUENDELEA KUSIKILIZWA JULAI 18
Na Karama Kenyunko, blogu ya Jamii MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji...
View ArticleIGP AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUENDELEZA DORIA ZA KIROHO
Na Jeshi la Polisi.Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewaomba Viongozi wa dini nchini kuendelea kufanya doria za kiroho huku Jeshi hilo likiendeleza doria za kimwili kwa pamoja ili...
View ArticleSERIKALI KUFUTA TOZO YA USAJILI,KUHUWISHA NA KUSHIKILIA USAJILI KWA...
NA WAMJW-MWANZASERIKALI kupitia wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imefuta tozo ya usajili , kuhuwisha pamoja na kushikilia usajili wa bidhaa zao kwa wawekezaji wa ndani...
View ArticleWAZIRI MKUU AHUTUBIA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCT JIJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dkt. Fredrick Shoo wakati alipowasili kwenye ukumbi wa CCM jijini Dodoma...
View ArticleDC MONDULI AZINDUA KIWANDA KIDOGO CHA KUCHAKATA NGOZI
Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Idd Hassan Kimanta Jumatano Julai 11, 2018 amezindua kiwanda kidogo cha kuchakata Ngozi na kutengeneza bidhaa za ngozi kiwanda hicho kipo katika kijiji cha Mswakini na...
View ArticleWADAU WAKIWA MOSCOW KUSHUHUDIA UINGEREZA WAKIRUDISHWA NYUMBANI NA CROATIA
Wadau wa Globu ya Jamii kutoka Tanzania Dhiresh Kaba, Moheel Kaba, Javier Diaz na Jay Kaba wakiwa Moscow kushuhudia kipute cha jana cha Croatia vs England Dhiresh Kaba akifurahia baada ya Croatia...
View ArticleKMC FC YANASA SAINI YA KIUNGO MTANZANIA ANAYEKIPIGA TUSKER FC KENYA
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiTimu ya KMC Fc imeendelea na usajili wake wa kuzidi kuimarisha kikosi chao kinachonolewa na Kocha Mrundi Etienne Ndayiragije kwa kumsajili kiungo mshambuliaji Abdul...
View ArticleTAMASHA LA MAJIMAJI SELEBUKA KUFANYIKA JUMAMOSI
Na Mwandishi Wetu,TAMASHA la Majimaji Selebuka linalohusisha mashindano ya mbio za baiskeli, riadha, ngoma za asili na Midahalo kwa wanafunzi wa shule mbalimbali za Sekondari katika Manispaa ya...
View ArticleWAZIRI LUGOLA ATEMBELEA IDARA YA UHAMIAJI MAKAO MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,Dk. Anna Makakala akimkaribisha Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola aliyefika Idara ya Uhamiaji jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya kikazi.Picha...
View ArticleCOSTECH YASHANGAA KUIONA BARUA WALIYOIANDIKIA TWAWEZA IKIWA MTANDAONI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiTUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imesema kuwa barua iliyokuwa katika mitandao ya jamii ni yao isipokuwa wanasikitishwa kuiona katika mitandao hiyo kabla...
View ArticleSEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA YAWANOA VIONGOZI WANAWAKE DAR
Na said Mwishehe, Globu ya jamii SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeamua kuwanoa viongozi wanawake wa ngazi mbalimbali wakiwamo madiwani na wakuu wa Idara katika manispaa za Mkoa wa Dar es...
View Article
More Pages to Explore .....