WAZIRI MKUU AHUTUBIA MKUTANO WA MAAFISA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI JIJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao cha Maafisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma Julai 12, 2018. Baadhi ya washiriki wa...
View ArticleMganga Mkuu Hospitali ya Mji wa Tarime, na wengine wawili wasimamishwa kazi...
Na Frankius Cleophace Tarime.Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Elias Ntiruhungwa amewasimamisha kazi watumishi watatu akiwimo kaimu mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya gari...
View ArticleMKUTANO WA MAREJESHO WA MAAMUZI NA MAAZIMIO YA MKUTANO MKUU WA 71 WA AFYA...
Na Mwashungi TahirNAIBU Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman alisema matarajio ya kuwapatia wananchi huduma zilizo bora za afya popote walipo ndio dhamira kuu ya Wizara zote za afya za Tanzania...
View ArticleRest in Peace John Mhina
John Mhina (R.I.P).It has been a very hard day, and very easy to mourn in silence; it takes away the worry of not being able to get your words out, or even just simply getting the right words out.But...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA VIKUNDI VYA ULINZI SHIRIKISHI
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ramadhani Ng'anzi akimpa kitambulisho mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya Polisi Jamii wa Mtaa wa Kanisani kata ya Sokoni One...
View ArticleWAHASIBU WATATU WA TTCL KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA WIZI WAKIWA WATUMISHI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Wahasibu watatu wa shirika la Mawasiliano Tanzania, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za wizi wakiwa watumishi na kuisababishia...
View ArticleROBO FAINALI YA SPRITE BBALL KINGS KUPIGWA JUNI 21 UWANJA WA NDANI TAIFA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Michuano ya Sprite BBall Kings 2018 hatua ya robo fainali Imefikia patamu baada ya timu nane kufanikiwa kuingia na sasa kila mmoja kumfahamu mpinzani wake.Katika droo...
View ArticleCLEMENT SANGA AVULIWA UENYEKITI BODI WA LIGI
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekubaliana na mapendekezo ya Kamati ya Sheria na Katiba ya kumsimamisha, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Clement Sanga baada ya kukosa sifa za...
View ArticleAzam fc yatamba kumgaragaza mnyama simba fainali kagame cup
Na Agness Francis, Globu ya jamiiAzam fc yatamba kumgaragaza mnyama simba katika fainali za kuwania kombe la kagame cup (cecafa).Timu hizo zote mbili za kutoka hapa nchini ambazo zimefanikiwa kutinga...
View ArticleTaGLA YAENDELEA NA MAFUNZO YA UPANGAJI MIJI, YAJADILI MASUALA YA ELIMU NA...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiWAKALA wa mafunzo kwa njia ya mtandao nchini (TaGLA) wameendelea na mafunzo kwa njia ya mtandao kutoka Korea kusini kuhusiana na masuala ya utunzaji wa mazingira...
View ArticleBINGWA WA KAGAME CUP KUJULIKANA KESHO
Na Khadija Seif, Globu ya Jamii. Michuano ya Kagame Cup 2018 yanafikia kilele chake siku ya kesho tarehe 13 Julai kwa kuzikutanisha Azam na Simba katika dimba la Uwanja wa Taifa....
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE WA TAASISI YA MAENDELEO YA ODI KUTOKA NCHINI...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na Mkuu wa Utafiti na Mkurugenzi wa Mpango wa kusaidia Mabadiliko ya Kiuchumi kutoka Taasisi ya Maendeleo ya...
View ArticleALIYEKUWA MBUNGE DIMANI ZANZIBAR APANDISHWA MAHAKAMA YA KISUTU KUJIBU TUHUMA...
Na Karama Kenyunko, Blogu ya Jamii.Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Amer, na mwenzake Julai 11, wamepandishwa katika kizimba cha mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu...
View ArticleKMC FC YANASA SAINI YA KIUNGO MTANZANIA ANAYEKIPIGA TUSKER FC KENYA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Timu ya KMC Fc imeendelea na usajili wake wa kuzidi kuimarisha kikosi chao kinachonolewa na Kocha Mrundi Etienne Ndayiragije kwa kumsajili kiungo mshambuliaji Abdul...
View ArticleRC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU MKOA WA PWANI.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 12 amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo baada ya Mwenge huo kukamilisha shughuli ya uzinduzi na uwekaji...
View Article“GHARAMA ZA UENDESHAJI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA KUDHIBITIWA”-DKT TIZEBA
Na Mathias Canal-WK, Bukoba-KageraMalalamiko ya muda mrefu ya wakulima yaliyokuwepo kwamba ushirika unatoa bei ndogo, sasa yamepatiwa muarobaini baada ya serikali kupitia kwa kina gharama za uendeshaji...
View ArticleTutamfunga Simba kutetea ubingwa wetu-Azam fc
Na Agness Francis,globu ya jamiiAzam fc yatamba kumgaragaza mnyama simba katika fainali za kuwania kombe la kagame cup (CECAFA).Timu hizo zote mbili za kutoka hapa nchini ambazo zimefanikiwa kutinga...
View ArticleCLEMENT SANGA AVULIWA UENYEKITI BODI WA LIGI
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekubaliana na mapendekezo ya Kamati ya Sheria na Katiba ya kumsimamisha, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Clement Sanga baada ya kukosa sifa za...
View ArticleWAZIRI KANGI LUGOLA AFANYA KIKAO NA MAAFISA,ASKARI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza wakati wa Kikao na Maafisa na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Katikati ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias...
View Article
More Pages to Explore .....