MICHUZI TV: SUMATRA WATOA MAFUNZO YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA WAMILIKI...
Na mwandishi wetu wa Mbeya Emmanuel Madafa
View ArticleDAWASA yatekeleza miradi ya kuondoa kero za maji kwa wananchi
Na Karama Kenyunko, blogu ya Jamii.Mamlaka ya maji safi na maji taka (Dawasa) inatekeleza mradi Mkubwa wa upanuzi wa chanzo cha maji Chalinze ili kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa maji kwa wakazi...
View ArticleNAIBU WAZIRI NDITIYE AITAKA TCRA KUWACHUKULIA HATUA KAMPUNI ZA VING’AMUZI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano-Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Nchini (TCRA) kuwachukulia...
View ArticleVETA YAJIPANGA KUTOA UJUZI KATIKA SEKTA YA VIWANDA
Na Chalila Kibuda Globu ya JamiiMAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi(VETA) imesema kuwa wamejipanga katika utoaji wa elimu ufundi katika uchumi wa viwanda.Akizungumza mara baada ya kupokoea...
View ArticleTBA YAJIPANGA KUOKOA MABILIONI KATIKA MIRADI YA UJENZI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JmaiiWAKALA wa Majengo Tanzania(TBA), limesema imejipanga kuokoa mabilioni ya fedha za miradi hapa nchini ambapo itatekeleza miradi 180 ambayo itagharimu Sh billion...
View ArticleMANISPAA YA TEMEKE YAHUDUMIA WANANCHI MSIMU WA SABASABA
Na Zainab Nyamka,Glogu ya jamiiHALMASHAURI ya Manispaa ya Temeke imepiga kambi katika viwanja vya sabasaba ikiwa na lengo maalumu la kuwahudumia wananchi katika msimu wa sabasaba na kuwataka wakazi wa...
View ArticleWATANZANIA WATAKIWA KUNUNUA VIFAA VYA UMEME VYENYE UBORA KUEPUKA MAAFA
Na Agness Francis, Globu ya Jamii.WATANZANIA wametakiwa kutumia vifaa vya umeme vyenye ubora ili kuepukana na kuunguza vitu vyao kutokana na kutokuwa na ubora unaotakiwa kwa matumizi ya nyumbani au...
View ArticleGRACE PRODUCTS ATAJA SABABU ZA KUTWAA TUZO YA THE INTERNATIONAL QUALITY...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.MSHINDI wa tuzo ya The International Quality Summit Award amewataka watanzania kupenda vitu vya nyumbani kwa sababu ni bidhaa zinazotengenezwa kwa malighafi asili na...
View ArticleJAFO AWAAGIZA WATAALAM BAGAMOYO KUTUNZA VIFAA TIBA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi) Selemani Jafo amewaagiza wataalam wa sekta ya afya wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kutunza vifaa tiba vilivyotolewa kwa...
View ArticleIGP AFUNGA MAFUNZO YA POLISI WANAMAJI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na wanafunzi waliohitimu mafunzo katika Chuo cha Polisi Wanamaji Mwanza baada ya kuangalia Onesho lao la utayari katika ukanda wa Ziwa...
View ArticleTanzania yasisitiza ushirikiano kutekeleza SDGs
SERIKALI ya Tanzania imeomba wadau wa maendeleo na taasisi mbalimbali zikiwemo za Umoja wa Mataifa kuendelea kufanyakazi nayo kuhakikisha kwamba ajenda ya kimataifa ya maendeleo endelevu ifikapo mwaka...
View ArticleMMILIKI WA KIWANDA ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA PWANI KWA TUHUMA ZA...
Na Linda Shebby, PwaniJESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia mmiliki wa kiwanda cha kuchapisha nyaraka mbalimbali kinachofahamika kwa jina la Yukos Enterprises kilichopo katika eneo la...
View ArticleWAZIRI MKUU: SERIKALI HAITANUNUA MADENI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haina mpango wa kununua madeni yaliyosababishwa na mikopo ya kibenki kwenye vyama vikuu vya ushirika nchini.Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Jumamosi,...
View ArticleIGP AFANYA ZIARA KATIKA VISIWA VYA ZIWA VIKTORIA
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Wakazi wa kata za Kagongo, Nyasungu na Kiriba zilizopo Visiwani Ziwa Victoria Mkoani Mara wakati wa Ziara yake ya kuhakikisha wahalifu...
View ArticleMKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADILIKO KWA BAADHI YA...
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
View Article
More Pages to Explore .....