NHIF YAWAHAMASISHA WANAUSHIRIKA KUJIUNGA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani Tanga(NHIF) umewahamasisha wanaushirika mkoani Tanga kujiunga na mpango wa Ushirika Afya ili waweze kupata kadi za matibabu ambazo wanaweza kunufaika na huduma ya...
View ArticleTANZANIA NI KIMBILIO KWA WALIOKOSA AMANI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuvumiliana na kustahamiliana ndiko kunakolifanya Taifa la Tanzania kuwa mfano wa kuigwa na kimbilio la wale waliovurugikiwa na amani katika nchi zao. Kadhalika,...
View ArticleNSSF YAKABIDHI MASHINE 12 ZA KUPIMA SHINIKIZO LA DAMU KATIKA HOSPITALI YA...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiSHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam limetoa mashine za kupima shinikizo la damu 12 zenye thamani ya Sh.5,000,000 kwa Hospitali...
View ArticleSPIKA NDUGAI APOKEA TUZO YA BALOZI WA AMANI BUNGENI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipewa tuzo ya Balozi wa amani na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge...
View ArticleMAKANDARASI FANYENI KAZI KWA BIDII NA UADILIFU-KWANDIKWA
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa amezungumzia umuhimu wa Makandarasi kuungana ili kupata miradi mingi inayotekelezwa na Serikali na hivyo kuwezesha fedha nyingi zinazopelekwa kwenye miradi...
View ArticleJAFO ATOA WITO KUSAIDIA WANAFUNZI WASIOJIWEZA ILI KUINUA ELIMU
Na. Zulfa Mfinanga na Fred Kibano,WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe.Selemani Jafo, leo amekabidhi msaada wa vifaa vya shule kwa wanafunzi wasiojiweza...
View ArticleTANZANIA KUNUFAIKA NA VIPAUMBELE VYA MPANGO MKAKATI WA SHIRIKA LA HALI YA...
Tanzania kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeshiriki katika Mkutano wa Sabini wa Kamati Kuu ya Utendaji ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (World Meteorological Organization Executive...
View ArticleHalotel, StarTimes waleta kombe la dunia kiganjani
Bando hii itawawezesha wateja wa Halotel na StarTimes kutazama Soka kwenye simu zao kwa gharama nafuu sana.Huku mshike mshike wa kombe la dunia ukiendelea kukolea, Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya...
View ArticleBei ya Ufuta katika wilaya ya Kibiti yazidi kupaa
*Ni kutokana na mfumo wa stakabadhi ghalaniNa Chalila Kibuda, Globu ya JamiiBEI ya ufuta katika wilaya ya Kibiti imezidi kupaa kutoka shilingi 2750 hadi 3100 kwa kilo na kufanya wakulima kunufaika na...
View ArticleDKT TIZEBA AZINDUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA KILIMO...
Na Mathias Canal, WK-DodomaWaziri wa kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba leo 28 Juni 2018 amefungua mkutano na kuzindua Baraza la wafanyakazi wa wizara ya kilimo, mkutano utakaotuama kwa siku mbili kuanzia...
View ArticleTPW YATOA SH MILIONI 40 KWA WANAWAKE 250 WILAYANI MONDULI KUFANIKISHA...
Na Ripota Wetu, Arusha MAISHA ya wanawake 250 waliopo Kata ya Lemooti na Mswakini Monduli mkoani Arusha yanataraji kubadilika baada ya Asasi ya Watu na wanyama(TPW) kuwapatia Sh.milioni 40 za mradi wa...
View ArticleMakamu wa Rais aelekea Mauritania kumuwakilisha Rais kwenye mkutano wa Umoja...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anaondoka jioni ya leo kuelekea nchini Mauritania ambako atamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John...
View ArticleRAIS WA ZIMBABWE EMMERSON MNANGAGWA AWASILI NCHINI NA KUPOKEWA NA MWENYEJI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama pamoja na mgeni wake Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa wakati nyimbo za mataifa mawili ya Tanzania na Zimbabwe...
View ArticleTANZANIA NI KIMBILIO KWA WALIOKOSA AMANI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuvumiliana na kustahamiliana ndiko kunakolifanya Taifa la Tanzania kuwa mfano wa kuigwa na kimbilio la wale waliovurugikiwa na amani katika nchi zao. Kadhalika,...
View ArticleZimbabwe Kuendelea kuimarisha uhusiano na Tanzania
Na. Immaculate Makilika –MAELEZORais wa Jamhuri ya Zimbabwe Emmerson Mnangangwa amesema serikali yake itaendelea kushirikiana na kuimarisha uhusiano wake na Tanzania ili kuimarisha uchumi wa nchi hizo...
View ArticleNIDA KUTOA VITAMBULISHO VYA URAIA MSIMU WA SABASABA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMAMLAKA ya vitambulisho vya taifa (NIDA) itatua muda wa wiki mbili za msimu wa sabasaba kuanzia June 28 hadi Julai 2 kutoa vitambulisho vya uraia kwa wakazi wa Dar es...
View Article
More Pages to Explore .....