Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110133 articles
Browse latest View live

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNI 28, 2018

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AZINDUA VITUO 51 VYA KUFUATILIA TAARIFA ZA HALI YA HEWA WILAYNI BAHI

WAZIRIMKUU Kassim Majaliwa amewataka wataalamu wa sekta za kilimo, mifugo na maji watumie taarifa za hali ya hewa zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ili waongeze ufanisi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel announces AMSHA AMSHA NA AIRTEL MONEY USHINDE winners

Airtel Tanzania the smartphone network in partnership with SportPesa has today announced the first winners of The “AMSHA AMSHA NA AIRTEL MONEY USHINDE” promotion which was launched on 14th June this...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Barclays yazindua huduma za kibenki kwa njia ya mtandao kwa wateja...

Mtaalamu wa Huduma za Kidigitali wa Benki ya Barclays Tanzania (BBT), Jesse Jackson (katikati), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma za kinbenki kwa njia mtandao wa intaneti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF ALI IDD APONGEZA UTENDAJI KAZI WA MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII...

Na Estom Sanga- TASAFMakamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema mchango unaotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii –TASAF katika shughuli za maendeleo hususani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUMALIZA TATIZO LA MAFUTA YA KULA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta ya kula nchini kwa kufanya mageuzi makubwa katika zao la michikichi, alizeti na ufuta.Ameyasema hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA TEMEKE ATAKA WANAOPEWA MIKOPO KUITUMIA KWA MALENGO WANAOPEWA MIKOPO...

MEYA wa Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam Abdallah Chaurembo amevitaka vikindu vya ujasiriamali vilivyopo ndani ya halmashauri ya hiyo kutumia mikopo wanayopata kwa malengo ya kujikwamua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPELELEZI SHAURI LA MAUAJI MMILIKI WA SHULE YA SEKONDARI SCOLASTICA WAKAMILIKA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ,Moshi imeelezwa upelelezi wa shauri la mauaji linalomkabili mmiliki wa shule ya sekondari ya Scolastica umekamilika.Wakili wa serikali anayeiwakilisha Jamhuri katika shauri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE WA NEC GACHUMA AWAONGOZA WANANCHI SIMIYU MAZISHI YA DC NA MBUNGE...

Na Stella Kalinga, SimiyuMjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kupitia Mkoa wa Mara, Christopher Gachuma amewaongoza wananchi na viongozi wa CCM na Serikali wa mkoa wa Simiyu katika mazishi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGWANGALLA APOKEA TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA KOVA KUHUSU TUHUMA ZA MAUAJI...

VIDEOWaziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akipokea taarifa ya awali ya uchunguzi wa tuhuma za mauaji ya Tembo katika Ikolojia ya Ruaha-Rungwa ambazo ziliripotiwa na kituo cha habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT: NOAH YAUA WATANO MTWARA

JOSEPH MPANGALA- MTWARA Watu watano wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerehiwa Vibaya kutokana na ajali ya gari kuacha barabara Kuanguka na kisha Kuwaka moto katika barabara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI SIMIYU FESTIVAL 2018

Na Stella Kalinga, Simiyu,Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Tulia Ackson anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio kubwa linalojulikana kwa jina la Simiyu Jambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGIZO LA WAZIRI UMMY MWALIMU LAANZA KUTEKELEZWA

Na Mwandishi Wetu – DodomaAgizo alililotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu la kuanzishwa kwa madawati ya kijinsia katika shule za Msingi na Sekondari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO...

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali  katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumia yaadhimisha miaka 6 ya mapinduzi ya biashara za mtandaoni Afrika

Takribani wateja 500,000 wanatembelea Jumia ndani ya mwezi katika mwaka huu 2018, kutoka wastani wa wateja 250,000 kwa mwezi mwaka 2017.Makampuni ya Kiafrika zaidi ya 60,000 na wafanyabiashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwijage awataka Wahandisi Kujiongeza

          Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO.Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amewataka wahandisi nchini kujiongeza katika kutafuta fursa mbalimbali zikiwemo za ujasiriamali ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA WA USAFIRISHAJI WATEMBELEA CBT

JOSEPH MPANGALA,MTWARA Wawakilishi wa Baraza la usafirishaji Korosho Kutoka Nchini India (CEPCI) wamefanya ziara Mkoani Mtwara na kukutana na wadau wa usimamizi,ununuzi na usafirishaji wa zao la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Wangabo ashauri gereza la Mollo kutumia ekari elfu 11 kwa kilimo cha...

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameshauri jeshi la magereza kuhakikisha wanazitumia ekari 11,000 zinazomilikiwa na jeshi hilo kwaajili ya mazao ya alizeti pamoja na kahawa ili jeshi hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waogeleaji wa Bluefins kushiriki mashindano ya Kenya

Jumla ya waogeleaji 11 wa klabu inayokuja juu kwa kasi katika mchezo wa kuogelea nchini, Bluefins watashiriki mashindano ya Mombasa yaliyopangwa kuanza leo.Mashindano hayo ya kimataifa, yanashirikisha...

View Article
Browsing all 110133 articles
Browse latest View live




Latest Images