Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110171 articles
Browse latest View live

VIFO VYA PACHA: Kauli ya Consolata iliyohitimisha safari ya miaka 22

View Article



MICHUZI TV: vijana waliohifadhi Quran watakiwa kuendelezwa kitaaluma katika...

View Article

VIDEO: MIRADI 70 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 11. 1 KUZINDULIWA NA...

Zaidi ya miradi 70 yenye thamani ya shilingi bilioni 11.1 itazinduliwa na mwenge wa uhuru uliowasili mkoani RUVUMA,ambapo mwenge huo utakimbizwa katika halimashuri nane na kuitimishwa katika wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wataalam Wizara ya Nishati, REA na TANESCO wakagua umeme vijijini Tanga na...

Wataalam kutoka Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakiongozwa na Mhandisi Yusuph Msembele kutoka Wizara ya Nishati, wamekagua mradi wa umeme...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMENEJA WA TRA NCHINI WAAGIZWA KUWATEMBELEA WAFANYABIASHARA MARA KWA MARA

Na Veronica Kazimoto-DodomaMameneja wote wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) nchi nzima wameagizwa kuwa na utaratibu wa kuwatembelea wafanyabiashara mara kwa mara ili kujua changamoto zao na kuzitatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA WAFANYAKAZI WA NIC LAKUTANA MOROGORO

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt .Steven Kabwe (kushoto) akizungumza katika mkutano wa baraza la wafanyakazi la NIC mkoani Morogoro mwishoni wa wiki.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Sam Kamanga.Picha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Sports Music Festval 2018 kutua Kanda ya Ziwa

Na Agness Francis, Globu ya Jamii. King Cash and Isbah Entertainment inawaletea burudani kabambe wakazi wa kanda ya Ziwa Tamasha la Sports Music Festival 2018 katika kusherehekea sikuku ya Idd.Tamasha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Makamba awasihi wananchi kuunda kamati za Mazingira

Tamasha kubwa lililopewa jina la “Tulonge Mazingira na Mimi” limefanyika mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Mbagala Zakhem Jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo la aina yake lilipambwa na burudani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILAYA YA BUHIGWE YAANZA UGAWAJI HATIMILIKI ZA KIMILA KATIKA VIJIJI

Na Rhoda Ezekiel Kigoma,HALMASHAURI ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma imeanza mchakato wa ugawaji wa Hatimiliki za Kimila katika Vijiji vya Mugera, Kajana na Katundu katika Kata ya Mugera na Kajana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara yazindua mradi wa VVU na Ukimwi kwa Wasichana Balehe na Wanawake...

Na Anthony Ishengoma Singida.Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imezindua mradi wa kuzuia maambukizi ya VVU na Ukimwi kwa wasichana balehe na wanawake vijana leo Mkoani Singida...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali, NSSF wajipanga kumaliza tatizo la uhaba wa maji jiji la Dar es Salaam.

Morogoro, June 4, 2018:SERIKALI kwa kushirikikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF wamejipanga kutekeleza mradi mkubwa wa Bwawa la Kidunda, hatua inayotajwa kuwa itatatua kabisa tatizo la uhaba wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEME NI NISHATI MBADALA ILIYO NAFUU KWA MATUMIZI YA NYUMBANI: KAMOTE

 Bw. Ally M. Koyya, (kulia), kutoka idara ya Masoko TANESCO, akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea kwenye banda la Shirika hilo kwenye maonesho ya Nishati Mbadala yanayokwenda sambamba na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njombe, Ruvuma kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, Septemba

Na Greyson Mwase, MakambakoWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amesema kuwa amefurahishwa na utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme cha Makambako kilichopo mkoani Njombe.Kalemani aliyasema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKADIRIO YA UJENZI WA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI MURRIET KUPITIWA UPYA

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Josephat Kandege amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Fabian Daqorro kuhakikisha anaunda timu ya wataalam kuchunguza ubora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba Ya Bajeti Wizara Ya Fedha Na Mipango 2018/19 iliyowasilishwa leo...

 Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt Philip Mpangango (MB.) akiwasilisha Bungeni makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa Mwaka 2018/19 mjini Dodoma leo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AZINDUA AWAMU YA PILI YA PROGRAMU YA KUENDELEZA SEKTA YA KILIMO...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi Awamu ya Pili ya Programu ya Kuendeleza Kilimo (ASDP ll) katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP LIVE NDANI YA STARTIMES

Katika kipindi ambacho ligi zimefikia zimefikia tamati, katika king’amuzi cha StarTimes burudani bado inaendelea. Sasa ni michuano ya SportPesa Super Cup ambayo inafanyika nchini Kenya na kushirkisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENGE WA UHURU KUTEMBELEA MIRADI YA THAMANI BILIONI11MKOANI RUVUMA

Na Lituh, NyasaMwenge wa Uhuru umeamenza mbio zake kwenye mkoa wa Ruvuma jana katika kijiji cha Lituhi wilaya ya Nyasa ambapo utatembelea miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni11.Akitoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI YA SPIKA WA BUNGE JIJINI DODOMA

Wageni Mbali mbali wakiwemo Manaibu Makatibu Wakuu, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Makamishna wa Bajeti na Sera wakisikiliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF AKABIDHI MASHINE YA BOTI KWA VIJANA WA KIKUNDI CHA HAMASA

Mwakilishi wa Jimbo la Mahonda Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Viongozi wa Jimbo hilo wataendelea kuwaunga mkono  Wananchi wao hasa Vijana na Akina Mama walioamua kujituma katika muelekeo wa...

View Article
Browsing all 110171 articles
Browse latest View live




Latest Images