KARIAKOO KWAANZA KUFURIKA MAANDALIZI YA SIKUKUU YA EID EL FITRI.
Sehemu ya Wakazi wa Dar es Salaam wakichagua nguo za watoto katika Mtaa wa Congo- Kariakoo wakichagua nguo za Sikuu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya sikukuu ya Eid El Fitri Wazazi wawili...
View ArticleMamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) yashiriki Maonyesho ya Wiki ya...
Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Usafari wa Anga Tanzania (TCAA) Ally Changwila (kushoto) akimfafanulia mmoja wa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, aliyetembelea kwenye banda la Mamlaka hiyo juu ya...
View ArticleWIZARA YA FEDHA YALIOMBA BUNGE SHILINGI TRILIONI 12.058 MWAKA WA FEDHA 2018/19
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Bajeti ya Wizara yake, Bungeni Jijini Dodoma, ambapo ameliomba Bunge, kuiinidhinishia Wizara hiyo kukusanya na kutumia...
View ArticleWALINZI 10 WA KAMPUNI YA ULINZI YA KK KORTINI KWA TUHUMA ZA KULA NJAMA NA...
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiWALINZI 10 wa kampuni ya ulinzi ya KK na muendesha foko mmoja wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za kula njama na wizi wa mapipa 26 ya...
View ArticleKUTINYU AMFUATA KOCHA VAN DER PLUIJM AZAM FC
Na Agness Francis, Globu ya JamiiKLABU Bingwa Afrika Mashariki na Kati Azam FC imetangaza rasmi kuwa imemsajili kiungo Tafadzwa Kutinyu mkataba wa mwaka mmoja.Kiungo huyo atachezea kikosi cha Azam...
View ArticleMAKONDA AWAOMBA WAUMINI DINI ZOTE KUHESHIMU MFUNGO WA RAMADHAN, AWAGEUZIA...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewaomba wanawake wenye tabia ya kuvaa sketi fupi maarufu Vimini na nguo za kubana wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa...
View ArticleWANANCHI KIJIJI CHA MIPEKO WAISHUKURU SERIKALI UJENZI WA KIVUKO MTO MZINGA
Na Agness Francis,Globu ya JamiiWAKAZI wa kijiji cha Mipeko katika Halmashauri ya Mkuranga mkoani Pwani wameishukuru Serikali kuanza ujenzi wa vivuko katika mto Mzinga.Akizungumza leo, Mkazi wa Kijiji...
View ArticleSERIKALI KUJADILI KODI ZA MIZIGO KUTOKA ZANZIBAR
NA Benny Mwaipaja, WFM, DodomaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinaendelea kujadiana kuhusu namna bora ya kupata ufumbuzi wa kudumu wa kero ya ulipaji...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MAJAJI WATATU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Ferdinand Wambali kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
View ArticleRukwa kushirikiana na Ireland kuongeza uzalishaji wa alizeti
Balozi wa Jamhuri ya Ireland Paul Sherlock amepokea maombi ya ushirikiano baina ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na nchi yake yaliyolenga kuongeza uzalishaji wa zao la alizeti mkoani humo jambo...
View ArticleKAMPUNI YA SIHEBS TECHNOLOGIES YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITUME
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiKAMPUNI ya kutoa huduma ya mfumo ya Tehama, ya Sihebs Technologies, imezindua huduma mpya ya teknolojia ijulikanayo kwa jina la Nitume itakayowawezesha wananchi...
View ArticleMfumo wa Usimamizi wa Fedha za Umma Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa...
Frank Mvungi- MAELEZO, MbeyaMfumo wa Usimamizi wa Fedha za Umma katika Mamlaka za Serikali za Mitaa toleo la 10.2 (Epical 10.2 ) umetajwa kuchochea utekelezaji wa dhana ya uwazi, uwajibikaji na utawala...
View ArticleDIT YABUNI MASHINE MAALUM YA KUTENGENEZA MKAA MBADALA, YAWA KIVUTIO MAONESHO...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiTAASISI ya Teknolojia ya Dar es Salaam(DIT), imeamua kubuni na kuzindua mashine maalumu ya kutengenezea mkaa mbadala.Lengo la kubuni mashine hiyo ni jitihada za DIT...
View ArticleDK.KAPOLOGWE ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA VITUO VYA AFYA NCHINI
Mkurugenzi wa Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe , Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dr. Ntuli Kapologwe amesema kuwa ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa vituo vya afya nchini...
View ArticleBENKI I&M YAFUTURISHA WATEJA WAKE MKOA WA DAR ES SALAAM,YAWAPA UJUMBE MZITO
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiBenki ya I&M imeandaa futari Maalum kwa ajili ya wateja wake wa Dar es Salaam katika kuadhimisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani.Akizungumza wakati wa futari hiyo Afisa...
View ArticleCMSA YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI KATIKA MASOKO YA MITAJI
MAMLAKA ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA) imewaasa watendaji katika masoko ya Mitaji kuhudhuria mafunzo yanayotambulika katika viwango vya kimaitafa ili kupata ujuzi na kuwa wabobezi katika masoko...
View ArticleBENKI YA EXIM TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE WAKUBWA JIJINI DAR
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Exim Tanzania, Selemani Ponda akito shukran wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wao wakubwa wa Dar e Salaam jana...
View Article
More Pages to Explore .....