WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) OFISI ZA TANZANIA WATEMBELEA...
Picha no. 1 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwa katika mkutano na wafanyakazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ofisi za Tanzania ambao...
View ArticleASAS DAIRIES LTD YAGAWA MAZIWA KWA WANAFUNZI MIKOA YA MBEYA, ARUSHA,IRINGA NA...
ASAS DAIRIES LTD imegawa zaidi ya pakiti 400,000 kwenye shule mbalimbali za mikoa ya IRINGA, ARUSHA, MBEYA na DODOMA. wakati wa maadhimisho ya wiki ya Maziwa duniani ambapo kitaifa inafanyika mkoani...
View ArticleYANGA ,SIMBA NA JKU WATINGA KENYA SPORT PESA SUPER CUP,SINGIDA KUWAFUATA
Vikosi vya Yanga ,Simba, JKU cha Zanzibar vimeondoka nchini kwenda Nairobi nchini Kenya.Yanga ,Simba ,Singida united na JKU wanakwenda kushiriki michuano ya SportPesa Super Cup itakayofanyika mjini...
View ArticleMAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHANGUO CHA URAFIKI NA KUKUTA MADUDUDU
*Aagiza Waziri wa Viwanda, RC na Menejimenti wakae na kumpa taarifa leo jioni*Asema tofauti ya viwango vya mishahara inatisha, ataka orodha ya watumishi*Awataka watumishi walioko kazini, likizo wawe...
View ArticleDC SHINYANGA AKABIDHI MSAADA WA BIMA ZA AFYA, SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 200...
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Josephine Matiro leo Ijumaa Juni 1,2018 amekabidhi msaada wa nguo za shule na kadi za bima ya afya kwa wanafunzi 200 wanaoishi katika mazingira magumu katika kata za...
View ArticleKATIBU MKUU MPYA WA JUMUIYA YA WAZAZI CCM TAIFA ERASTO SIMA AKABIDHIWA OFISI...
Na Elisa Shunda VIONGOZI na Wanachama wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameungana kwa pamoja na Katibu Mkuu Mstaafu wa jumuiya hiyo Anayemaliza Muda wake,Seif Shaban Mohamed kumpokea...
View ArticleMKUTANO WA NANE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)...
MKUU wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe amelitaka Shirika la Bima la Taifa (NIC) kuongeza maarifa na ubunifu wa kutafuta masoko mapya kutokana na kuwepo zama za ushindani mkubwa wa...
View ArticleRC DKT. KEBWE ATAKA WALIOKULA FEDHA YA UJENZI WA MAABARA YA SEKONDARI YA...
Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe amemuagiza mkuu wa Kituo Cha Polisi Gairo kuwakamata wale wote waliokula fedha za ujenzi wa maabara ya shule...
View ArticleNIDA YAZINDUA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA MKOA WA KILIMANJARO
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Anna Mghirwa amezindua rasmi kuanza kwa zoezi la Ugawaji Vitambulisho kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro baada ya Usajili wa Mkupuo kumalizika kwa asilimia 82%.Akitoa...
View ArticleWAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) OFISI ZA TANZANIA KUTIBIWA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwa katika mkutano na wafanyakazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ofisi za Tanzania ambao walimtembelea ofisini...
View Article
More Pages to Explore .....