Serikali Kuendelea Kuchukua Hatua za Kisera Kuhakikisha Riba za Mikopo...
Na Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.Serikali imesema kuwa pamoja na huduma za bidhaa ya fedha kuamuliwa na nguvu ya soko kwa upande wake imekuwa ikichua hatua za kisera ili kuhakikisha kuwa riba za...
View ArticleMAALIM SEIF ATUMA UJUMBE KUMPONGEZA KATIBU MKUU MPYA WA CCM
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Shariff Hamad amewasilisha barua ya pongezi kwa katibu mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally...
View ArticleBalozi Seif Ali Iddi aipongeza Jamuhuri ya Cuba kwa kumaliza Uchaguzi wa...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Jamuhuri ya Cuba kwa kumaliza Uchaguzi wa Bunge salama wa kuwachagua Wajumbe wa Baraza Kuu la Nguvu ya Umma lenye Mamlaka ya...
View ArticleNAIBU SPIKA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WATENDAJI WA BENKI YA NBC OFISINI KWAKE...
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Ofisini kwake Jijini Dodoma, kushoto kwa Naibu Spika ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ndg....
View ArticleMkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi apokea vitendea...
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi akizungumza jambo na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China, Xu Chen wakati wakati wa mkutano baina yao uliofanyika ubalozi wa China Alhamisi...
View ArticleSwahili Fashion Week Pop Up Shop kufanyika Juni 2 mwaka huu nyumbani kwa...
Habari Njema! Balozi wa Italia nchini Tanzania, kwa mara nyingine tena atakuwa wenyeji wa onesho hili la Swahili Fashion Week Pop Up shop litakalo fanyika tarehe 2 mwezi juni kuanzia saa sita mchana...
View ArticleLALA SALAMA MWALIMU KASUKU BILAGO, UMEONDOKA KABLA YA NDOTO YAKO KUTIMIA.
Leo Mbunge wangu Mwalimu Kasuku Bilago, Mbunge wa Buyungu utalala katika nyumba yako ya milele, utalala hutaamka tena, familia yako itakukosa, wananchi wa Buyungu watakukosa, ndugu jamaa na marafiki...
View ArticleMAFURIKO SAME YAKATA MAWASILIANO YA MIOUNDO MBINU ,WANACHI WATUMIA MITUMBWI...
Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro,Aisha Amour (aliyenyoosha mkono) akiwa na baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Maafa ya mkoa wakiwa eneo la Ruvu Darajani ambako magari yanaishia baada ya miuondo mbinu ya...
View ArticleWizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yakabidhiwa jukumu...
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Adolf Mkenda akisaini hati ya kukubali rasmi kupokea jukumu la kuisimamia Bodi ya Ushauri kuhusu Masuala ya rushwa ya Umoja...
View ArticleBancABC yazindua tawi jipya Dodoma
Benki ya BancABC imezindua tawi jipya jijini Dodoma kwa lengo la kukidhi mahitaji ya huduma za kibenki kwa wateja hivyo kusaidia ukuaji wa uchumi katika kanda ya kati. Hilo ni tawi la saba kwa BancABC...
View ArticleProf.Mkenda afanya ziara katika Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani...
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Adolf Mkenda, akizungumza na wajumbe (hawapo pichani) waliohudhuria kikao baina yake, watendaji wa Kituo hicho na...
View ArticleSERIKALI YATOA BILIONI 40 KUSHUGHULIKIA TATIZO LA MAJI MUHEZA
SERIKALI imeanza kulishughulikia tatizo la maji wilayani Muheza kwa vitendo baada ya kutoa kiasi cha bilioni 40 kwa ajili ya kutoa maji kwenye chanzo cha mto zigi kupelekwa kwenye vijiji mbalimbali ili...
View Article
More Pages to Explore .....