Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110025 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KRANTZ MANTEPELE ni miongoni mwa Bloggers 50 duniani walioalikwa kiushuhudia...

Mwanablogu kutoka Tanzania Krantz Mwantepele kutoka blog ya Mwanaharakati Mzalendo amechaguliwa na serikali ya Russia kuwa miongoni mwa Bloggers na social media influencers 50 dunia nzima kutembelea...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA KUNUFAIKA NA BIMA YA KILIMO KUANZISHA MWAKA HUU- KAMANGA

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniSHIRIKA la bima la Taifa la Tanzania (NIC), limelenga kuanzisha bima ya kilimo mwaka huu, ambayo itasaidia kuwapa usingizi wakulima mbalimbali nchini, waweze kunufaika kwa...

View Article

DKT. KIJAJI AITAKA BENKI YA ABC KUPELEKA HUDUMA VIJIJINI KUCHOCHEA SEKTA YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKUSANYAJI WA MAPATO KATIKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAONGEZEKA HADI...

Na Veronica Kazimoto,Zanzibar Wastani wa ukusanyaji wa mapato katika kipindi cha miezi 10 ya Mwaka wa Fedha 2017/18 katika Jumuiya ya Afrika Mashariki umeongezeka hadi kufikia asilimia 16 ukilinganisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif afanya mazungumzo na Balozi wa Jamuhuri ya Cuba

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Jamuhuri ya Cuba kwa kumaliza Uchaguzi wa Bunge salama wa kuwachagua Wajumbe wa Baraza Kuu la Nguvu ya Umma lenye Mamlaka ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel na itel wazindua SMARTPHONE mpya ya A32 F na Bando la Airtel BURE...

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania na kampuni ya kutengeneza simu ya itel leo kwa pamoja wamezindua simu mpya ya itel A32 F iliyoambatanishwa na offer ya bando ya intaneti yenye kifurushi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA NDUGAI AFUNGUA MAONESHO YA MADINI BUNGENI DODOMA

Na Veronica SimbaSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, leo Mei 30, amefungua rasmi maonesho ya madini katika viwanja vya Bunge, jijini Dodoma na kuipongeza Wizara ya Madini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:: ZINEDINE ZIDANE AACHIA NGAZI REAL MADRID

Na Bakari Madjeshi, Globu ya JamiiAliyekuwa Kocha Mkuu wa Real Madrid, Zinedine Zidane 'Zizzou' mchana wa leo ametangaza kuachia ngazi kama Kocha Mkuu wa kikosi hivyo baada yakutwaa mataji matatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MBALIMBALI MARA BAADA YA BUNGE KURIDHIA BAJETI YA WIZARA YA ARDHI

Watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakimpongeza Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO TO SUPPORT ONE MONTH ANTI FGM CAMPAIGN IN 5 REGIONS

UNESCO is supporting the organization of a one-month anti-FGM campaign in selected districts within the five regions with high prevalence namely Manyara, Dodoma, Arusha, Mara and Singida. The campaign...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANAPA WAMKABIDHI MNYETI ZAHANATI YA GIJEDABUNG

SHIRIKA la hifadhi za Taifa nchini ( TANAPA ) limemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, zahanati itakayowasaidia wananchi wa Kiijiji cha Gijedabung kata ya Endakiso Wilbayani Babati,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITENGO CHA LISHE KUTOA MATONE YA VITAMIN A NA DAWA ZA MINYOO KWA WATOTO...

 Na Ramadhani Ali – Maelezo ZanzibarWizara ya Afya Zanzibar itaanzisha zoezi la mwezi mmoja la utoaji matone ya Vitamin A na Dawa za Minyoo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano kuanzia Juni 1,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakurugenzi wa Bodi wa TPA wafanya ziara bandari ya Dar es Salaam

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko (wa pili kulia) akionyesha moja ya maghara yatayovunjwa ili kupisha maboresho ya kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa ya kisasa na yenye uwezo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAFO AAGIZA KASI YA UJENZI KITUO CHA AFYA CHAMWINO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Chamwino mkoani Dodoma kuongeza kasi ya ujenzi katika kituo cha Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKABIDHI RASMI MIKOBA KWA DK. BASHIRU OFISI NDOGO YA CCM LUMUMBA

 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Abdulrahman Kinana akipunga  mikono kuwaaga wafanyakazi na Viongozi wa Ofisi ndogo ya CCM Lumumba mara baada ya kukabidhi ofisi kwa Katibu Mkuu mpya...

View Article


MICHUZI TV: WAZIRI MKUU KUZINDUA KAMPENI YA KUPIMA VVU NCHINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA, TAASISI ZA SERIKALI ZITUMIE NISHATI MBADALA – WAZIRI MKUU

*Aagiza viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam wabadilike*Ataka wasimamie wananchi waachane na matumizi ya mkaaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Wizara, mashirika na taasisi zote za Serikali na binafsi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERA YA TAIFA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA NI MKOMBOZI WA WANANCHI

Na Benny Mwaipaja, WFM, DodomaSerikali ilizindua sera ya Taifa ya huduma ndogo za fedha ili kuhakikisha wakopaji wakiwemo wajasiriamali wadogo wanalindwa na kupata haki zao bila kudhurumiwa wanapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatoa Milioni 700 kwa vijana mwaka 2017/18

Na Mwandishi Wetu.Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana imetoa takribani shilingi milioni 700 kwa mwaka wa fedha 2017/18 kwa vijana nchini ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na kuweza kuepuka...

View Article

MAFANIKIO YA ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI TIC NCHI ZA UJERUMANI NA UHOLANZI

View Article
Browsing all 110025 articles
Browse latest View live


Latest Images