Dkt. Abaasi Awataka Wanahabari Kutumia Kalamu Zao Kupunguza Ajali
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amewataka waandishiwa habari nchini kutumia taaluma ya habari kuielemisha jamii juu ya usalama barabarini ili...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Maadhimisho ya Miaka 15 Tangu Kuanzishwa kwa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Kudhibiti Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi...
View ArticleWANAFUNZI ZAIDI YA 600 WA DARASA LA TATU WASOMA KWENYE CHUMBA KIMOJA
Na Rhoda Ezekiel Kigoma, WANAFUNZI zaidi ya 600 wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kumkambati Kata ya Nyamidaho wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wanalazimika kusoma katika chumba kimoja kutokana na...
View ArticleWATUMISHI WATATU WA HALMASHAURI YA KALIUA MATATANI KWA KUSHINDWA KUONYESHA...
NA TIGANYA VINCENT, TABORAMKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza kuchukuliwa hatua kwa watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua kwa tuhuma za kukiuka taratibu za manunuzi wakati wa...
View ArticleMBUNGE RITTA KABATI ATOA SADAKA YA TENDE KWA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM...
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.MBUNGE wa viti maalum mkoa wa Iringakupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati ametoa sadaka ya tende kwa waumini wa dini ya kiislamu wa manispaa ya Iringa kwa ajili ya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AFUTARISHA TUNGUU ZANZIBAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kufutari kwenye Makazi...
View ArticleKatibu Tawala Morogoro awataka Maafisa Kilimo kuongeza Uzalishaji
Na Andrew Chimesela – MorogoroMaafisa Kilimo wa Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za Mkoa wa Morogoro wametakiwa kusimamia na kutoa utalaama wao kwa wakulima kupitia maafisa Ugani ili kuongeza...
View ArticleIlala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira
MANISPAA ya Ilala jijini Dar es Salaam imeshauriwa kuanzisha klabu za mazingira katika shule zake za msingi za manispaa hiyo ili wanafunzi wafundishwe umuhimu wa utunzaji mazingira. Ushauri huo...
View ArticleWATAALAMU WA MASUALA YA MAABARA WAAGIZWA KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NA SERIKALI
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiSerikali imewaagiza wamiliki wa maabara binafsi kote nchini kuzingatia na kufuata tartibu zilizoweka katika kutoa huduma hili kufikia viwango vinavyohitajika katika sera...
View ArticleMAOFISA ELIMU WAPIGWA MARUFUKU KUINGIZA MAMLUKI MASHINDANO YA UMISSETA DAR
Na Heri Shaaban .MAOFISA Elimu Sekondari wa Manispaa tano katika Mkoa wa Dar es Salaam ambao wanafunzi wao wanashiriki Mashindano ya Umoja wa Shule za Sekondari (UMISSETA) wameshauriwa katika...
View ArticleRais Dk.Shein akutana na ujumbe wa Saudi Arabia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mamlaka ya Saudi Arabia anayeshuhulikia Mambo ya Kiislamu, Misaada, Daawa na Miongozo...
View ArticleDKT. ASHATU KIJAJI AZIPONGEZA BENKI KUSHUSHA RIBA ZA MIKOPO
Na Benny Mwaipaja, WFM, DodomaUamuzi wa Serikali wa kupunguza kiwango cha chini cha amana kinachotakiwa kuwekwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na benki za biashara nchini, umechochea taasisi za fedha...
View ArticleWAKAZI MKURANGA WAPIGWA MARUFUKU KUVUKA KATIKA MTO
Na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii,MkurangaHALMASHAURI ya Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani imepiga marufuku wakazi wa Wilaya hiyo na wanafunzi kutovuka katika mito,na badala yake watumie njia za...
View ArticleRAIS MAGUFULI ALIPOPOKEA RIPOTI YA UHAKIKI WA MALI ZA CCM, KATIBU MKUU MPYA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa CCM...
View ArticleULEGA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MADARAJA MKURANGA
Na Leandra Gabriel, blogu ya jamiiNAIBU Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Mkuranga, Abdalah Ulega ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa madaraja matatu wilayani Mkuranga mkoani...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Lugola akijibu swali kuhusu utaratibu unaotumika kutoa ajira kwa wananchi katika sekta za Muungano leo Bungeni Jijini Dodoma....
View ArticleEFM REDIO YATUA RASMI DODOMA
KITUO cha Utangazaji cha Efm redio katika kuhakikisha kinaenda sanjari na maendeleo pamoja na mpango wa serikali wa kuhamia Jijini Dodoma, imewasha rasmi masafa yake leo Jijini humo ambapo inasikika...
View Article
More Pages to Explore .....