SERIKALI YAAGIZA WAMACHINGA WATENGEWE MAENEO YA KUFANYIA BIASHARA
Na Angela Msimbira,Wakuu wa Wilaya wameagizwa kuzisimamia halmashauri nchini kuhakikisha kuwa zinatenga maeneo maalum ya kufanyia biashara ndogondogo (machinga) ili waweze kuendesha shughuli zao bila...
View ArticleMISS TEEN HERITAGE INTERNATIONAL 2016 AWAKABIDHI BASATA CHETI CHA SHUKRANI
Na Angess Francis, Globu ya jamiiBARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA)limesema kuendele kutoa ushirikiano kwa wasanii wa nyanja mbali mbali hapa nchini ili wafikie mafanikio yao.Ambapo leo BASATA jijini...
View ArticleMABINGWA WA NGUMI ZA RIDHAA WAMTEMBELEA MEYA WAO UBUNGO
Na Emmanuel Masaka ,Globu ya jamiiMEYA wa Ubungo Boniface Jacob ametembelewa na Mabingwa ngumi za ridhaa ambao wameshinda mataji mbalimbali ya ubingwa pamoja na Medali sita katika Shindano la Mchezo...
View ArticleSERIKALI KUPITIA WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAOMBWA KUJENGA...
Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae akizungumza na waandishi wa habari AFISA Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na...
View ArticleRAS SHINYANGA AFUNGUA MAFUNZO KWA KAMATI YA KUTOKOMEZA UKATILI DHIDI YA...
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amefungua mafunzo kwa wajumbe wa kamati ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto mkoa wa Shinyanga yanayolenga kuwajengea uwezo wa namna ya...
View ArticleKIJANA ALIYEMWOKOA MTOTO APATA DILI MALI, AONEKANA JESHI LA ZIMA MOTO...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiRAIS wa Mali Ibrahim Boubacar Keita amempongeza kijana Mamoudou Gassama (22) aliyemwokoa mtoto aliyenusurika kuanguka kutoka ghorofani na kumtaka arejee nchini Mali...
View ArticleWAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AZINDUA WIKI YA MAZIWA NCHINI,AAHIDI KUINUA SEKTA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Luhaga Mpina(wa pili kulia) akikata utepe kuzindua Wiki ya Maziwa kitaifa kwenye uwanja maonesho ya Kilimo na Mifugo Nanenane Njiro,kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa...
View ArticleMNYETI AAGIZA MANYARA IKAMILISHE VIWANDA 100
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti ameziagiza Halmashauri za Wilaya za Mkoa huo kuhakikisha zinatekeleza agizo la uanzishwaji wa viwanda 100 na hadi mwezi Septemba mwaka huu viwe vimekamilika....
View ArticleSPIKA NDUGAI AWAFARIJI WAFIWA NA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO MSIBA WA MAREHEMU...
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge, ndugu, jamaa na marafiki waliofika nyumbani kwa marehemu kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA: uteuzi wa wanafunzi waliohitimu kidato cha sita kutoka...
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefanya uteuzi wa wanafunzi waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kutoka shule zote za Tanzania Bara kwa mwaka 2018, kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa...
View ArticleMWANZA YAJIUNGA NA LIGI YA MIJI INAYOPATA HUDUMA YA USAFIRI KIDIJITALI
Mwanza, ‘The Rock City’ kama inavyofahamika kwa wengi nchini Tanzania, leo imeingia kwenye ligi ya miji ya kisasa duniani baada ya kuingia rasmi kwa huduma ya usafiri kidijitali jijini humo. Mwanza,...
View ArticleMkutano wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na...
Mhe. Mhandisi Stella Manyanya Naibu Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji akifuatilia Mkutano wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki uliokuwa...
View ArticleKATIBU TAWALA MKOA WA KILIMANJARO,MHANDISI AISHA AMOUR AONGOZA WAJUMBE WA...
Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro,Mhandisi Aisha Amour akiwa ameongozana na wajumbe wengine wa Kamati ya Maafa kutembelea Bwawa la Nyumba ya Mungu lililopo wilayani Mwanga ambalo linatajwa ujazo wake...
View ArticleWALIOKAIDI KUHAMA KWENYE MAENEO YENYE MAFURIKO SAME SASA KUKAMATWA
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.SERIKALI imetoa siku mbili kwa wananchi waliosalia katika Vijiji vya Ruvu Mferejini na Ruvu Marwa wilayani Same ,Mkoani Kilimanjaro...
View Article
More Pages to Explore .....