DC MJEMA AIHIMIZA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA WELEDI
Na Chalila Kibuda,Blogu ya jamiiMKUU wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Sophia Mjema amewapongeza kazi kubwa inayofanywa na waandishi wa habari katika kuuhabarisha umma wa Watanzania ila amehimiza...
View ArticleWAZAZI WAHIMIZWA KUWAINGIZA WATOTO WAO KWENYE MPANGO WA TOTO AFYA KADI KWA...
Na Editha Karlo wa blog ya jamii, Karagwe.WAZAZI na walezi Mkoani Kagera katika kuelekea msimu wa sikukuu wametakiwa kuhakikisha wanawapatia watoto wao zawadi ya kuwaingiza kwenye mpango wa Toto afya...
View ArticleMinister Mhagama to Officiate National Dialogue on Local Participation for...
Minister of State in the Prime Minister’s Office, Policy, Parliamentary Affairs, Labour, Employment, Youth and the Disabled, Hon. Jenista Joakim Mhagama (pictured ) will officiate a National Roundtable...
View ArticleSERIKALI YA MTAA UPANGA YAJIVUNIA UHALIFU KUPUNGUA KWA ASILIMIA 85
SERIKALI ya Mtaa ya Upanga Mashariki Dar es Salaam imesema vitendo vya uhalifu katika mtaa huo kwa sasa vimepungua baada kuanzishwa ulinzi shirikishi wa bodadoda wa mtaa huo. Mwenyekiti wa Serikali ya...
View ArticleWANANCHI WA VIJIJI VYA LITISHA, MDUNDUALO NA LUGAGARA SONGEA MKOANI RUVUMA...
Wananchi wa vijiji vya Litisha, Mdundualo na Lugagara katika halmashauri ya wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, wamekanusha taarifa zilizosambaa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba kuna zahanati zao...
View ArticleMufti ahimiza uadilifu futari ya Standard Chartered
Na mwandishi wetuMufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally amesema Waislamu na walimwengu kwa ujumla wananafasi kubwa ya kujifunza mawaidha yanayotolewa katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AJUMUIKA NA WATU MBALIMBALI MKOANI DODOMA WAKATI WA FUTARI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma Bi. Jamila Yusuph wakati wa Futari iliyoandaliwa na Mheshimiwa Makamu wa Rais...
View ArticleWatendaji wanaochangia kuenea kipindupindu Rukwa kushughulikiwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema hatamvumilia mtendaji wa serikali atakaechangia kuenea kwa ugonjwa kipindupindu katika mkoa kwani elimu ya ugonjwa huo imeshatolewa kwa muda mrefu...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisoma dua ya kuliombea Bunge wakati wa kikao cha thelathini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.Naibu...
View ArticleJaji Mkuu Awataka Viongozi na Watendaji wa Mahakama Kutenda Haki
Na Beatrice Lyimo- Maelezo, DodomaJaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewataka viongozi mbalimbali wa mahakama ikiwemo Naibu Wasajili, Mahakimu, Watendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo kutenda...
View ArticlePRECISION AIR NA MAXMALIPO WAINGIA MKATABA WA MIAKA MITATU WA HUDUMA KWA WATEJA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Shirika la ndege la Precision Air limeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya MaxMalipo ikiwa ni katika kuboresha huduma za ulipaji wa tiketi kwa njia ya...
View ArticleMAJALIWA AFUNGUA VITUO VYA POLISI MBURAHATI, KILUVYA NA MBWENI - DAR Inbox x
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kufungua Kituo cha Polisi cha Kiluvya wilayani Ubungo Mei 24, 2018. Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhadisi, Hamad masauni na wanne...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MHE. STEPHEN MASELE (MB) NA MHE. MBONI MHITA (MB)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati)akizungumza na Mbunge wa Shinyanga mjini Mhe. Stephen Masele ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais...
View Article‘VITA’ SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI YAZINDULIWA DODOMA
Na Ramadhani Juma, Ofisi ya MkurugenziZOEZI la utoaji wa chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya Kizazi kwa Wanawake limezinduliwa rasmi katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma huku...
View ArticleWANAOHUSIKA NA KUUZA VIWANJA ENEO LA KAMBI YA WAZEE NUNGE WAKAMATWE-SERIKALI.
NA WAMJW-DAR ES SALAAM.SERIKALI kupitia Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imeutaka uongozi wa Kambi ya Wazee na watu wasiojiweza Nunge kuwakamata wahusika wanaouza viwanja...
View ArticleTIB Corporate Bank washiriki jukwaa la biashara jijini Arusha
Mkurugenzi Mkuu TIB Corporate Bank Frank Nyabundege akitoa ufafanuzi juu ya riba zinazotolewa na Bank wakati wa jukwaa linawakutanisha wadau mbalimbali katika masuala ya kuwezesha na kuendeleza...
View ArticleAfDB YASISITIZA NIA YA KUFADHILI MRADI WA KUONGEZA MNYORORO WA THAMANI WA MAZAO
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeahidi kufadhili mradi wa Kuongeza Mnyororo wa Thamani wa Mazao ya Chakula ili kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano za kujenga uchumi wa viwanda na...
View Article
More Pages to Explore .....