SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KATIKA MAKAZI YA WATU WENYE UKOMA YA...
Serikali imejipanga kuwajengea Kisima cha kisasa watu wenye mahitaji maalum kitachoweza kuhudumia Kaya 26 zenye jumla ya watu 56 wenye ukoma na wazee katika Kambi ya Samaria Hombolo jijini Dodoma.Hatua...
View ArticleWAZIRI JENISTA MHAGAMA AZINDUA MDAHALO WA KITAIFA WA KUJADILI USHIRIKISHWAJI...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza wakati wa uzinduzi wa mdahalo wa kitaifa wa kujadili ushirikishwaji wa jamii katika...
View ArticleSPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WATAALAM WA KUTENGENEZA MABEHEWA NA...
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na wataalam kutoka Kampuni ya Zhuzhou Locomotive ya nchini China inayojishughulisha na utengenezaji wa mabehewa na vichwa vya treni za Mwendokasi,...
View ArticleKAMANDA SIRRO AONYA WALIOPATA MSAMAHA WA RAIS
INSPEKTA Jenerali wa Polisi, Simon Sirro amewaonya watu waliopata msamaha wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa Aprili 26, 2018 wajichunge tabia na matendo yao.Ametoa onyo hilo leo (Alhamisi, Mei 24,...
View ArticleMakala aweka wazi mahusiano yake na Odama
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Mtayarishaji na muigizaji wa filamu hapa nchini Laurent Matiholo maarufu kama “Makala” amefunguka na kuweka wazi juu ya ukaribu wake wa kimahusiano na msanii mwenzake...
View ArticleMAFUTA YA KULA YAKAMATWA YAKIBADILISWA BRAND YA TURKEY NA KUWEKWA STIKA YA OKI
Na Ramadhan Ali - MaelezoWakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imegundua udanganyifu uliokuwa ukifanywa na mfanyabiashara Ujudi Abass wa kubadilisha utambulisho (brand) wa mafuta ya kula ya TURKEY...
View ArticleSIMANZI ,VILIO VYATAWALA WAKATI WA KUAGA MIILI YA WATUMISHI WATATU WA KITUO...
*Waziri Mwijage asema Taifa limepata pigo kubwa kwa kupoteza watumishi waadilifu.*Mkurugenzi Mtendaji TIC aelezea utendaji wao, azungumzia namna alivyowaamini.Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiNi vilio na...
View ArticleHongera sana Ruani Fundi Rumadha
Ni furaha na fahari ilioje kwa Sensei Rumadha Fundi baada ya mwanae Ruani Fundi Rumadha kuhitimu Ray Braswell High school, huko Aubrey, Texas, Marekani leo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya...
View ArticleWAZIRI JAFO AKERWA NA UJENZI MBOVU WA MADARASA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma na Suma JKT kuhakikisha madarasa yaliyojengwa katika shule ya Sekondari ya...
View ArticleRC DKT. KEBWE AAGIZA WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA MAJI GAIRO WAKAMATWE
Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG-GAIRO. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe ameliagiza jeshi la Polisi Wilaya ya Gairo kuwatafuta na kuwakamata watu walioharibu miundo mbinu ya maji...
View ArticleBENKI YA CRDB YANG'ARA TUZO YA BENKI BORA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiTUZO kwa benki bora Afrika mwaka 2018 zimetolewa jijini Busan Korea Kusini huku aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT)Profesa Benno Ndulu na Benki ya CRDB...
View ArticleSIMBA SC WAZAWADIWA MILIONI 100 NA SPORTS PESA KWA KUTWAA UBINGWA
Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti wa SportPesa, Tarimba Abbas akizungumza jambo akiwa ameambana na Mkurugenzi Mkuu SportPesa Pavel Slavkov pamoja na Mkurugeni wa utawala wa Sportpesa Luca Neghesti.Timu...
View Article
More Pages to Explore .....