WAZIRI UMMY AZINDUA MASHINDANO YA BANDA CUP AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amekabidhi vifaa vya michezo kwa timu 16 ambazo zinashiriki michuano ya Banda Cup ikiwa ni mchango wake kusaidia mashindano...
View ArticleMKALAMA SHIKAMANENI KUINUA WILAYA YENU-WAZIRI JAFO
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amewataka wananchi wa wilaya ya Mkalama iliyopo mkoani Singida kushikamana ili kuinua wilaya yao...
View ArticleUJENZI WA JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA MJI WA NANYAMBA MKOANI MTWARA WA...
Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa jengo la utawala la halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara Mhandisi MEDRAD MMOLE amesema kukosekana kwa vibarua kumepelekea kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo...
View ArticleWATEJA KUWASILIANA BILA KIKOMO NA SUPER HALO YA HALOTEL
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamii KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Halotel, kwa mara ya kwanza imezindua kifurushi kisichokuwa na ukomo wa muda kitakacho wawezesha wateja wa mtandao huo kuwasiliana...
View ArticleCAG AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA OFISI YAKE
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG), Profesa Mussa Juma Assad amesema ofisi yake imefanikiwa kutoa taarifa kwa wakati, kila inapofika Machi 30 ya kila mwaka licha ya kukabiliwa na...
View ArticleULEGA APOKEA MIFUKO 200 YA SARUJI YA UJENZI WA ZAHATI MKURANGA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMBUNGE wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amepokea mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya Sh.milioni tatu...
View ArticleFanya haya kufanikisha mfungo wa Ramadhani
Na Jumia Travel TanzaniaMfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani umekaribia ambapo Waislamu wote nchini na duniani wanatarajiwa kuanza kufunga. Mwezi huu muhimu kiimani huchukuliwa kama kipindi cha toba...
View ArticleKamati ya Bunge ya Uganda Yamwagia Sifa Mradi wa DMDP
Kamati ya bunge ya hesabu za Serikali za Mitaa kutoka Nchini Uganda (PAC-LG) imemwagia sifa Mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam unaoendelea kutekelezwa katika Manispaa ya Tano za Mkoa wa Dar...
View ArticleIN LOVING MEMORY OF R.BRIAN SALVA RWEYEMAMU
R.BRIAN SALVA RWEYEMAMU 1987 - 2014Today, 15 May, 2018, the family of Salva Rweyemamu and Isabella Kafumba Rweyemamu commemorates four years of the untimely departure of their beloved son, R. Brian...
View ArticleStandard Chartered wazindua michuano ya kuwania tiketi ya kwenda kuiona...
Na Mwandishi wetuBenki ya Standard Chartered jana ilizindua awamu ya tatu ya michuano ya soka ya kuwania kombe lake. Michuano hiyo ya kuwania kombe la Standard Chartered 2018 huchezwa kwa dakika 10...
View ArticleHERI YA MAADHIMISHO YA MWAKA MMOJA WA SPORTPESA,BADO TUNAIKUMBUKA ZIARA YA...
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya SportPesa siku ya Jumatano ya Mei 9, imetimiza mwaka mmoja tangu ilipoanza uendeshaji wa shughuli zake za kibiashara nchini.SportPesa ambayo imeanzia nchini Kenya...
View ArticleTUKIO LA CAREER DAY:CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI ,LAWAKUTANISHA WAHITIMU NA...
Na Dixon Busagaga,Moshi MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika ,Moshi (MoCU) ,Prof, Faustine Bee ameshauri kuanzishwa kwa ujasiliamali wa Kiushirika utakao saidia wahitimu wa vyuo vikuu nchini...
View ArticleMaandalizi ya ukarabati wa Beit El Ajaib yaiva
Na Salum Vuai, WHUMKMAANDALIZI ya matengenezo ya jengo la Beit Al Ajaib lililoko Forodhani mjini Zanzibar yameanza kufuatia ziara ya ujumbe kutoka Wizara ya Urithi na Utamaduni ya serikali ya...
View ArticleWADAU WA UTALII WAKUTANA KUJADILI MPANGO KABAMBE WA MIAKA KUMI KUENDELEZA...
Na Editha Karlo wa blog ya Jamii,KigomaWATANZANIA wametakiwa kujenga tabia ya kutembelea hifadhi za Taifa mbalimbali zilizopo nchini ili kuweza kujionea urithi na vivutio adimu vilivyopo kwenye hifadhi...
View ArticleJAFO AKERWA NA GHARAMA KUBWA ZA UJENZI WA BWENI ENDASAK
.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Seleman Jafo amesikitishwa na gharama kubwa iliyotumika katika ujenzi wa Bweni la wanafunzi katika Shule ya Sekondari Endasak....
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI JIJINI DODOMA
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akijibu miongozo mbalimbali ya wabunge leo Bungeni Jijini Dodoma. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim...
View ArticleMWAKILISHI WA JIMBO LA TUNGUU AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA CHUO KIKUU ZANZIBAR...
MWAKILSHI wa Jimbo la Tunguu Simai Mohamed Said akisalimiana na Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu Zanzibar (ZU) Pr. Musta Roshash alipofika ofisini kwake Chuoni hapo Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja. MWAKILSHI...
View ArticleMUHIMBILI KUFUNGA MASHINE YA KUDHIBITI TAKA HATARISHI
Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kufunga mashine ya kisasa ya utasishaji taka ambayo itapunguza uchomaji wa taka za plastiki ambazo zina madhara kwa binadamu Mashine hiyo yenye thamani ya Dola...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA BANDARINI DAR ES SALAAM KUKAGUA...
8 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitoa maelekezo na kuulia maswali alipowasili eneo lenye matanki ya kuhifadhia mafuta ya kula baada ya kushushwa melini alipofanya...
View Article
More Pages to Explore .....